Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona unatumia nguvu nyingi mzee baba, jaribu hata kidogo kutumia na ubongo wako kiasi..
Haya mambo hayahitaji papara jomba, tatizo lako hujui record labels na induztry ya mziki huaga zinafanyaje kuingiza hela..

Mziki hela yake inaingia lkn ujue ina mafungu kibao especially kwa wasanii wakubwa na lebels kubwa kubwa duniani..

Jaribu hata kujifunza kidogo basi kuhusu mziki ndio angalau utoke matongotongo machoni..
Usione msanii anatamba basi ukafikiria eti ni kw juhudi zake pekeake, kuna watu nyuma ya pazia ndio wamemueka pale na wanawekeza mpunga wa maama kw ajili yake..

Ni pm we mwehu nije nikutoe ujinga
Alaf Angalia sitajibizana tena na wewe Mana ni kujichoresha tu .kubishana na vilaza ni kujishushia heshima.. endelea kujua unavyotaka wewe. Me nimemaliza
 
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Nyie ni warembo tu,chuchu tu kiburi chenu kinawategemea sana mabwana wale.
 
Bwahahaha!!we hujui kitu bana, km umeishiwa na hoja kaa pembeni..
Kelele ndio sipendi
Isije ikawa nabishana na mlala hoi nikajisumbua ,mana maskini huwa mko na ideology zenu kwahyo ngoja nikuache kwanza uendelee kujifariji na upumbavu wako
 
Bwahahaha!!umekasirika, wasafi inawenyewe mzee baba..
Kuna visiki pale vimekaa pembeni vinapiga hela pole pole

CEO katika kampuni kwn ndio nn, kumbe hamjui lebels zinavyofanya kazi..
Ni pm nikundishe kiasi
unataka kunifundisha kuhusu music na managment zinavyosongeshwa.......

wakenya mnamatatizo sana
 
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Superpower wa kulishwa sumukuvu? Mashoga kweli ninyi
 
Pitia youtube uone miradi mingi PM akiitembelea na kuizindua JPM utamuona Kampala wiki hii! Na kuna uwezekano deal la LNG likatangazwa!
Watu wa Intelligence securities wanajaribu kuonesha uma as if things are normal just to control the power struggle na ombwe la kiungozi
 
Unauendekeza huu upumbavu wa kitoto? Kwahiyo hata akisema baba ako jana alibakwa alipokuwa amelewa utaamini?

Mtu anaongea tu pasipo evidence, yn mtu akifa tu basi corona, yeye alienda hospitali kuthibitisha kwamba aliyekufa ni corona? Kwa misiba ya corona aliyotangaza huyo jamaa mpk ss basi ingekuwa Watz wote humu tushakufa Mana ni mingi kuliko iliyotokea USA na Italy combined
Mbona unatumia nguvu Sana,kunywa maji mengi tutakufukia kwa heart attack ohoo hold down kwani panakuuma wapi usaidiwe
 
😎😎

giphy.gif


 
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
unasahau tuna trade deficit na ninyi hivyo tunaweza kuweka sanctions tu saa yoyote. Pia hakuna bidhaa yoyote ya maana inayotoka kenya ambayo tikipiga ban tutaathirika. Kwahiyo uhuru nafikiri amejiuliza mara mbili mbili kuhusu zuio la mahindi na hofu ya jibu atakalokuja nalo magufuli kuhusu hilo zuio.
 
Back
Top Bottom