Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

By the way wasanii wetu wanafanya show mpaka ulaya na marekani.
Kuna msanii keshaliweka wazi hilo la show za marekani, kule huaga ni kujitanua vizuri na kutafuta fursa lkn wala hamna lolote la maana kifedha..ndio manake wakienda wanaishia kuimbia waafrika wenzao ukumbini
 
Imebidi niende google maana isipokuwa wewe uliyejaribu, Malazy wengine ni vilaza wasiojua chochote kuhusu nchi yao.
Tanzania ina mikoa 31 sasa hivi
View attachment 1723468
We kama ulikua unajua unawwza pata hizo data Google umekuja kuulizia huku ya nini? Kama huo sio ulazy ni nini.?.. na sisi wadau tusha kusanukia.. tume baki kukuchora tu🤣
 
Mbona unalialia jomba, au unafikiria wale wazee pembeni wameenda kukenua meno tu
Na msiombe isambaratike manake kuna watu kusaga meno, heri yule kinonge kaamua kujinasua mepema wengine wao bado wanapumbazwa tu ndio ili watumiwe vizuri..
. Angalia hiyo video had mwisho .hao unaowaona nyuma ya diamond wote wanalipwa na diamond . Sitaki tena kelele zako za ujiaji while you know nothing
 
Kuna msanii keshaliweka wazi hilo la show za marekani, kule huaga ni kujitanua vizuri na kutafuta fursa lkn wala hamna lolote la maana kifedha..ndio manake wakienda wanaishia kuimbia waafrika wenzao ukumbini
Una kichaa wewe 😂😂 Eti kuna msanii kasema 😂😂 diamond ndio anatakiwa aseme international shows zina faida or not kwa maa he's the most East African successful artist .. by the way Dee anapata 100k $ per show internationally.ukimwona diamond hata hapo nairobi anapiga show ujue kalipwa 70k $
 
Una kichaa wewe Eti kuna msanii kasema diamond ndio anatakiwa aseme international shows zina faida or not kwa maa he's the most East African successful artist .. by the way Dee anapata 100k $ per show internationally.ukimwona diamond hata hapo nairobi anapiga show ujue kalipwa 70k $
Bwahaha!!ndani analipwa ngapi
Ona jamaa akimungunya mungunya maneno sasa hivi
 
Ww ni zaidi ya jinga embu weka kma hii toka kwa hao mabwana zako tuone...
JamiiForums1912816310.jpg
 
. Angalia hiyo video had mwisho .hao unaowaona nyuma ya diamond wote wanalipwa na diamond . Sitaki tena kelele zako za ujiaji while you know nothing
Mbona unatumia nguvu nyingi mzee baba, jaribu hata kidogo kutumia na ubongo wako kiasi..
Haya mambo hayahitaji papara jomba, tatizo lako hujui record labels na induztry ya mziki huaga zinafanyaje kuingiza hela..

Mziki hela yake inaingia lkn ujue ina mafungu kibao especially kwa wasanii wakubwa na lebels kubwa kubwa duniani..

Jaribu hata kujifunza kidogo basi kuhusu mziki ndio angalau utoke matongotongo machoni..
Usione msanii anatamba basi ukafikiria eti ni kw juhudi zake pekeake, kuna watu nyuma ya pazia ndio wamemueka pale na wanawekeza mpunga wa maama kw ajili yake..

Ni pm we mwehu nije nikutoe ujinga
 
Mbona unatumia nguvu nyingi mzee baba, jaribu hata kidogo kutumia na ubongo wako kiasi..
Haya mambo hayahitaji papara jomba, tatizo lako hujui record labels na induztry ya mziki huaga zinafanyaje kuingiza hela..

Mziki hela yake inaingia lkn ujue ina mafungu kibao especially kwa wasanii wakubwa na lebels kubwa kubwa duniani..

Jaribu hata kujifunza kidogo basi kuhusu mziki ndio angalau utoke matongotongo machoni..
Usione msanii anatamba basi ukafikiria eti ni kw juhudi zake pekeake, kuna watu nyuma ya pazia ndio wamemueka pale na wanawekeza mpunga wa maama kw ajili yake..

Ni pm we mwehu nije nikutoe ujinga
Haa.!! Yani we hakuna unachojua kuliko mimi,kitu chochote kile .na kuhus WCB Ndio usijetia neno kocho wewe .
 
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Nyinyi ndo mlianza kuburn vifaranga vya TZ?
 
Pole ,ila ujue tu sisi sio size yenu kabia ,yani ni mbingu na ardhi
Nyinyi ndio sio levele yetu, we unafikiria levels zetu ni kikanda..
Wakenya mambo yetu km ni kuongoza ni duniani bana wala sio upuuzi upuuzi wa kunga unga hapa
 
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Nyie ni warembo tu,chuchu tu kiburi chenu kinawategemea sana mabwana wale.
 
Kenya ndio huwa inarusha makonde kwa majirani, hakuna siku majirani wamepata ubabe wa kulianzisha. Sisi ndio huwa tunalianzisha kila siku maana tuna ubavu huo na uwezo huo. Tanzania hata this time haikulipiza kisasi. Hio ni evidence tosha nani ndio superpower ukanda huu. Lakini kwa upande mwingine ni vizuri Kenya iwache ubabe iishi kwa amani na majirani zake. Sio vizuri maana hizi trade war zinaweza kuback-fire.
Nyie ni warembo tu,chuchu tu kiburi chenu kinawategemea sana mabwana wale.
 
Back
Top Bottom