komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kuna msanii keshaliweka wazi hilo la show za marekani, kule huaga ni kujitanua vizuri na kutafuta fursa lkn wala hamna lolote la maana kifedha..ndio manake wakienda wanaishia kuimbia waafrika wenzao ukumbiniBy the way wasanii wetu wanafanya show mpaka ulaya na marekani.


