Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Tatizo wao kule wapo kw ajiki ya kuji-enjoyKOT huko Twitter wanaitumia kwa uzushi na majungu!
Naona umeanza kuweweseka sasa, jomba wala usijitatize manake mm sina mda na upuuziPole kama umeumiaIla kuhusu kiswahili hujui kitu baba ,na kama unajua nyoosha kidole nikulize maswali ujibu , Google rukhsa
Stress anazo jamaa mwenye complications caused by covid 19 ikiwemo heart attack ,si unaona mnavyohangaika naeStress zinakusumbua wewe.
Huu udikteta uchwara ndio unasababisha mataga mnachukiwa ,tumelipia chanel za maana sio tbcnext us NMG!
Hiyo ni mali ya diamond ndugu,au unataka video zaidi .? Na hiyo wasafi yenyewe ni mali ya diamond , chochote unachoskia kuhusu wasafi ni mali zakeKanunua au wasafi ndio wamenunua?
Alikuambia anaumwa?Mzee wenu ni mgonjwa. Ni kweli hayuko Kenya lakini anaugua. Kama hangekuwa mgonjwa angekuwa amejitokeza sasa hivi. Namuombea apone haraka ili arudi kuchapa kazi.
Tangu lini mkajali kuhusu JPM? Mnavyouliza yuko wapi Kwani mlimualika kwenye kikao kazi hajafika?Media za Kenya haziwaachi. Zimewakamata kwenye pumbu
mimi naona zinajitia kidole na kuchora ukutani,sioni kengere zetu zikishikwa.Media za Kenya haziwaachi. Zimewakamata kwenye pumbu
Unahitaji msaada. Una kiwango cha juu cha stress.Stress anazo jamaa mwenye complications caused by covid 19 ikiwemo heart attack ,si unaona mnavyohangaika nae
hilo nalo ni gonjwa la akili.Unahitaji msaada. Una kiwango cha juu cha stress.
Tangu lini mkajali kuhusu JPM? Mnavyouliza yuko wapi Kwani mlimualika kwenye kikao kazi hajafika?
Media za Kenya haziwaachi. Zimewakamata kwenye pumbu
Ukimsoma unaona kabisa ana shida mahali,anazunguka huku na huku kupunguza mzigo kichwani.hilo nalo ni gonjwa la akili.