The hate from kenyans towards JPM it's next level.... ivi huyu mzee kawafanyia nini haswa?🤣🤣🤣🤣
ni aibu kwa mtanzania hasa akina Lissu kufanya alivyofanya. Damu ya kitanzania haipo hivyo!
aibu pia kwa vyombo vya habari vyote vilivyoshadidia eti Magu yupo Nairobi.. kwanza Magu tokea lin akubali kwenda Nairobi? mke wake mwenyewe alibaki Dar hukuhuku
