Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaringa na wakati umekula chanjo ya polio
Hata ARV kuna watz wanapokea km kawa, ukisusa wenzako wanabeba mjomba
Shida co chanjo bali shida ni uaminifu, tunasubiri mfanyiwe majaribio zen ndo tuiamini mbn cmpo tu, hiyo chanjo ya polio ipo kwa takribani miaka 50 tunaiamini ila covid bado tunasubiri mrejesho kutoka Kenya.
 
Unapiga kelele na wakati hata chanjo za polio ulidungwa huku mkeo akingangania dawa za kupanga uzazi

Wajinga ndio wale wao, hapo bado kuna watanzania wanapangia foleni ARV za mabeberu eti kisha chanjo wanajitia kususa..

Nyie semeni ukweli tu km mnafuata mkumbo, ile siku bichwa nundu ataagiza wabunge wote watapiga meza na kumsifia
Wewe kafunue tacko uchomwe sindano acha kutupipigia kelele, huelewi chochote kuhusu vaccines.
 
Kwainini wakenya wanakomaa kuzungumzia corona wanaacha kuonyesha miradi yao ya maendeleo? Hakuna ugonjwa usio ua, lakini corona inavyozungumzwa kwenye media hasa za mabeberu na majran utazan ukifika mitaani utakuta watu wanawahari mbaya kwakuumwa, hakuna kitu hcho maisha yanasongatu Kama zamanitu na Mimi nipo huku kanda ya ziwa kwenye migodi midogo ya dhahabu watu wengu knoma qsnapiga kazi na Wala sijahi sikia Fulani kafa na coronaView attachment 1716896View attachment 1716897
IMG_20201207_105004_396.jpg


Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
This is the problem with debating with a conditioned mind na yenye imejaa hasira. My point is, these measures are still in place even though people flaut them. Uvaaji wa mask bado hutiliwa mkazo and people get arrested everyday for not wearing them.

Tofauti yetu na nyinyi Ni kwamba serikali yetu imetuambia the right thing to do, haikutudanganya like your government did to you. As you know it, these measures are meant to prevent infections only up to a certain degree. Suala la watu kukusanyika kwenye mikutano ya kisiasa is an unfortunate one but still utaona watu na barakoa zao midomoni
Mkenya mwenye kiswahili kingi ni wewe pekee
 
Total haitumii pesa yake. Total imeomba Mkopo from western banks. Bank moja inayoitwa Standard bank ya South Africa imetengeneza panel ili kuangalia ikiwa mradi huu utaharibu mazingira. Total wameomba loans from banks. Soma hio article.
Hahaha siku 10 zimebaki! EIA ilifanywa na independent body na ikapewa greenlight!
 
We kwel mwehu, akili hizi ndio zile ma pastor wanazipenda sana..
Mpka mbegu mkeo atapandikizwa huku wewe ukibaki kujenga imani tu
nini unachojua wewe manga wa ghetto life!!!

kwamba usali na ung'ang'ane,umesali ili uweke kitu gani.
 
Back
Top Bottom