Tengeneza basi yako ukasambazie watanzania wenzako. Hapo utakuwa umeharasisha mamboMkuu unajua nini kuhusu kutengeneza masks yako nyumbani? Kwanini ni disaster in waiting? Sio Magu tu hata huko kwa mnakowaabudu wanaelewa umuhimu au unaweza kutengeneza mask yako mwenyewe.
Huyu hapa Dr Gupta wa CNN anaonesha jinsi ya kutengeneza mask yako nyumbani.
View attachment 1716399
Million 80 hiyoHuwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411
Nilikuwa na picha km hizi ila nilizifuta, ss bwn mapesa alivyoweka mapesa yake nikatamani nami ningeweka yangu, ila mkuu umenchekesha sn wallahiHuwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411

















Nilikuwa na picha km hizi ila nilizifuta, ss bwn mapesa alivyoweka mapesa yake nikatamani nami ningeweka yangu, ila mkuu umenchekesha sn wallahi![]()









Oyaa nimecheka sana wakuuHuwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411











Ila mkuu huu mzigo inawezakana ikawa wako mana hata ukiutafuta mtandaoni huupati.Huwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411












Acha ujuaji.Tengeneza basi yako ukasambazie watanzania wenzako. Hapo utakuwa umeharasisha mambo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Alafu ss ukakute kanaongelea development individually unaweza ukadhani ni kweli kako njema, kumbe ni kachokoraa ka Mathare![]()
Mi huwa naenda kubeba mzigo wa ofisi wa maana , Ila leo wakati bado sijazidumbukiza kuwapa Security wazipeleke , nikakumbuka mipesa juu ya meza ya MAPESA nikaamua na mimi ni snap kipicha.







"Am acting sloppy Kwenye mambo serious Kama corona?!" 😂 😂. Wow! The pot calling the kettle black. Between Kenya and Tanzania which country acted floppy in matters corona? Ni nchi gani iliaminisha wananchi wake kwamba corona haipo? If that's not being floppy then I don't know what floppy mean.Achana na mambo ya maybe kwenye ulimwengu wa kisasa. Nenda youtube angalia Muhimbili National Hospital wanatengeneza barakoa 54k kila siku. That's more than 1.5m badakodas (in Magu tone) per month.
Ukiacha hao kuna MSD (Medical Stores Department) na private producer mwingine mmoja ambaye ana uwezo mkubwa.
Sisi tuna msingi wa ujamaa kwenye maisha yetu hivyo kuna fundi vyerehani kibao mtaani wanazalisha barakoa vile vile. Yaani kwetu kama unacho kitenge ndani unaenda tu kwa fundi anakushonea "badakoda" za familia nzima.
Wizara ya Afya ilikwishatoa muongozo juu ya namna ya kutengeneza barakoa.
My take: Nyie majirani zetu mshakuwa brainwashed na mambo ya wazungu ndiyo sababu you are acting very sloppy hata kwenye issues serious kama corona.
As we speak, USA zimekamatwa barakoa feki zaidi ya 12m kwenye majimbo mbali mbali. China pia kuna mamilioni ya barakoa feki zimekamatwa. Kama kwenye masoko yao kuna barakoa feki itakuwaje huku kwenye masoko yenu? Kwamba nyinyi ndiyo mnapendwa sana eee.
Naishangaa serikali yetu why haipigi ban barakoa kutoka nje. Kuhamasisha watu kutozitumia (za nje) haitoshi, wazipige ban kabisa tuwaachie hao wenzetu wanaopenda sana vya mabeberu.
Truth hurts alwaysAcha ujuaji.
Huwa sipendi kuonyesha Vitu vyangu ila kwa kuwa mmetaka nawaonyesha, siku nyingine mkitaka niwaonyeshe hata ukucha wangu hamtakaa kupata kuuona
By BWANA MAPESA.
View attachment 1716409
View attachment 1716410
View attachment 1716411






Kweli Sana mkuu🙂Wakenya wote ndo wako hv ku pretend maisha japo wachache sana hawana tabia za kipuuzi kama hizi.
Magu aliwaambia kwamba "corona haipo Tanzania." Sasa mngeendelea kuvaa mask ya nini? Msemo wake kwamba corona haipo meant the end of face mask wearing, just like it did other measures.Wapi Magufuli alikataza kuvaa barakoa?, tangu mwanzo alisema tusiamini barakoa kutoka nje ya Tanzania, alichokataza ni 'lockdown na sheria zote zinazozuia watu kufanya kazi na kuchanganyika, bado anaendelea kusisitiza kwamba barakoa za nje sio salama, wivu wenu ndio inaosababisha kulazimisha kwamba alikataza barakoa ili kutaka kuonyesha kwamba ameshindwa.
Kuhusu Vaccine, yeye amesema lazima kwanza Wizara ya Afya ijiridhishe kama inafanya kazi na haina madhara kwa wananchi ndio waruhusu chanjo itumike, lakini siku Wizara ikijiridhisha na kuruhusu chanjo itumike Tanzania, media za Kenya lazima zitapindisha na kusema Magufuli alikataza chanjo lakini mwisho amekubali, wakenya mpo na wivu sana kwa Tanzania, hasa kipindi hiki ambapo Tanzania imekua ni gumzo duniani.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Watanzania hawakuwa wanavaa barakoa until a few days ago ambapo mkulu alisema muanze kuzitumia. Kulingana na maneno yenu wenyewe, you said that you have the capacity to produce up to a million masks a day and I believe this is something that has been ongoing. At this rate, itakuwaje kuwe na short supply wakati demand ilikuwa chini while production was still standing at a million pieces a day? Unatuona sisi wajinga sana?Mbn una argue kichizi hivi? Km tuna factory ndo iweze kutosheleza mahitaji yote?
hizo bado ni principle za wahaba wa imani.Having faith and taking actions are two different things. You can have faith that moves mountains but that's not enough for God to work miracles in your life. We all know that God will provide according to His will and timing. However, this is not a reason for inactivity on your part.
Let me give you a classical example: if you are in need of a job and pray about it and have faith that God will indeed bless you with a job, do you think God will cause employers to come looking for you at the comfort of your home? Your guess is as good as mine. You will have to go out there are knock on doors, drop your papers to prospective employers, and do everything you can and God will surely help you. Now, haven't you helped yourself first by writing that application letter and knocking on different offices before God helped you?
In your case, you knew the right thing to do so that even as you pray, God will answer your prayers but you didn't do it. You didn't help yourselves first. You didn't take that important initiative
Ila mkuu huu mzigo inawezakana ikawa wako mana hata ukiutafuta mtandaoni huupati.
Ila nyie BWANA MAPESA kiboko kwamba siku nyingine hatoonesha hata ukucha wake![]()




.