tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,199
Kuna viwanda hapa Tz wanatengeneza mask poa kabisa hua wanaziuza MSD na watumiaji hua tunazigiza uko MSD, ziko na standard alieleza uyo jamaa,Za kuagiza kutoka nje ndio haziaminikiHizo hizo mask wanazotengeneza hao mnaowaamini na bado zinaonekana hazifai.