Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hawa hawawezi kuzuia mradi kama ingekua kuzuia wangezuia Julius nyerere dam yenye thamani ya 2.9b usd walipiga kelele wee lakini waliambulia patupu 😁😁😁
na mm nikwambia tu kwa ulimi mpana hzi NGOs nyuma yake kuna sura ya kenya lakini kwa kukupa pole zaidi angalia hii video waziri wa mambo ya nje alikua total ufaransa juzi na wamesaini na kukubaliana mambo mengi sana
Total haitumii pesa yake. Total imeomba Mkopo from western banks. Bank moja inayoitwa Standard bank ya South Africa imetengeneza panel ili kuangalia ikiwa mradi huu utaharibu mazingira. Total wameomba loans from banks. Soma hio article.




