Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi ni Mtanzania ila ukweli ni kwamba Kenya mko mbele zaidi katika vitu vingi kwa mfano ishu ya umeme , ninyi mpo mbele zaidi kwanza mnauza umeme kisasa zaidi mtu unajenga nyumba makampuni ya umeme yanakuwekea umeme yenyewe tena kwa kushindana hiyo kwetu hapa haipo kabisa yaani kuunga umeme ni taabu ile mbaya.Pia wakati watz wanawaza umeme wa maji ninyi mnawaza umeme wa nyuklia ambao ni bora na wa kuaminika zaidi kuliko huu wa maji.

Tatizo watz wengi wana wivu tu na hiyo Kenya hawana jambo zaidi sasa wivu wao badala wawaze kufanya kitaalamu wao mambo yao wanafanya kizamani zaidi.Kenya mpo smart na kamwe mtu smart hatatawaliwa na mtu anayetumia nguvu zaidi kuliko akili.

Keep up Kenya sisi huku tunaburuzwaburuzwa tu
Afrika Mashariki Tanzania ndio nchi pekee inayoweza kuwa na umeme wa nyuklia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Mkristo tena imara ila Bibilia inaniambia kwamba Mungu husaidia mtu anayejisadia. Don't expect God to work miracles in your life if you are not making any effort to better your life. Mungu anataka aone Kwanza unavyojituma na kujikakamua. Hapo ndipo ataanza kutimiza mahitaji yako. Maombi so mbaya but you can't just sit there, not observe any rules with regards to the virus and expect God to exempt you wakati unajiexpose kwa kirusi kila siku by not following the laid down guidelines. It doesn't work that way my brother. It takes personal efforts for God to work miracles in your life. That's where you all went wrong na matokeo yake dunia iliona
Hakuna kitu kama hicho ulichoandika,uhaba wa imani yako usisahabishe utengeneze theories zako ambazo hazipo.

mtaji unaohitakika kwenye maombi ni imani tu,wala sio juhudi zako.
 
Screenshot_20210303-065827.png

Side effects zimeshaanza 👀
 
View attachment 1716063

Hao mnaowaaabudu kila siku wanabadilisha magoli ya jinsi ya kujikinga. Sasa wanasema barakoa hazifai, mnazidi kuumbuka.
Look at how self-contradictory you are. Umesahau kwamba ni wiki iliyopita tu Magu kawaambia muanze kuvaa masks na kumantain social distancing baada ya kirusi kupenyeza hadi ikulu? You look stupid by arguing this way.

These guidelines are followed by all the countries in the world except Tanzania that chose prayer and exotic medicines. How you single out just Kenya is laughable to say the least. Ulitaka nasi pia tuache kuchukua tahadhari tuweke maombi mbele?
 

Mississippi mayor resigns, moves to Africa, starts businesses​


ASSOCIATED PRESS | MISSISSIPPI CLARION LEDGER


Tanzania's 50th anniversary: interview with a historian







0:00
0:00

Show Caption
MAGNOLIA, Miss. — The former mayor of a small Mississippi town says he has moved to Africa to run a tourism business, and he is encouraging other Black people to also consider moving to the continent.

Anthony Witherspoon resigned Dec. 31 in Magnolia, population 2,260. He had been mayor since winning a 2014 special election, and he had six months remaining in this four-year term.

Anthony Witherspoon is shown in this 2008 photo.

Anthony Witherspoon is shown in this 2008 photo.

BRIAN ALBERT BROOM, CLARION-LEDGER
The Enterprise-Journal reported that Witherspoon posted a Facebook video Jan. 24, saying he is living in Dar es Salaam, Tanzania.

“I am here in the Motherland, creating business partnerships and networks with my brothers and sisters,” Witherspoon said.

Some of those enterprises include early childhood centers, preschools, private business colleges and “businesses like this, Back to Africa Tours,” he said. He also is running a YouTube channel with testimonies of people who have moved to Africa.

“The minute you step off the plane into Julius Nyerere International Airport and see the state-of-the-art, world class airport here in Dar es Salaam, Tanzania, it will be the beginning of the end of all of the lies that have been fed to you by the Western media about our Mother Africa,” Witherspoon said.

His wife, Democratic state Sen. Tammy Witherspoon of Magnolia, is still living in Mississippi and serving at the Capitol. The former mayor said she and the couple’s two sons recently visited him in Tanzania.

Sen. Tammy Felder Witherspoon, D-Magnolia, during floor debate in Senate chambers at the Capitol in Jackson, Miss., in 2018.

Sen. Tammy Felder Witherspoon, D-Magnolia, during floor debate in Senate chambers at the Capitol in Jackson, Miss., in 2018.
ROGELIO V. SOLIS, AP

Anthony Witherspoon said his vision of helping Americans “repatriate” to Africa is inspired in part by the late Marcus Mosiah Garvey, a Jamaican political activist who proposed that people of African descent return to the continent.

“I come in that spirit and at least want to help you explore Africa for yourself,” he said.

 
Look at how self-contradictory you are. Umesahau kwamba ni wiki iliyopita tu Magu kawaambia muanze kuvaa masks na kumantain social distancing baada ya kirusi kupenyeza hadi ikulu? You look stupid by arguing this way.

These guidelines are followed by all the countries in the world except Tanzania that chose prayer and exotic medicines. How you single out just Kenya is laughable to say the least. Ulitaka nasi pia tuache kuchukua tahadhari tuweke maombi mbele?
Tukikuita mpumbavu utabisha!

Jana uliandika hivi "The measures are still in place in Kenya sema tu watu wamelegea kidogo kuzifata." ona ulivyo jikaanga kwenye comment yako

Hizo measures ambazo watu wamelegea zinawasaidia nini?

Viongozi wenu kila siku wanazivunja hizo measures mlizoziweka na huko hapa kupiga panganga!

Hivi kenya mnamentain social distancing labda" sosho distensi"

Usituone wajinga humu kana kwamba hatuoni kinachoendelea hapo failed state.
 
Umenifanya niingie online
Kenya ipi unaizungumzia?

Unadhani wote humu hawaijui Kenya?, hadi wakenya watakushangaa... Kenya wanashifirika moja la umeme kama Tanesco.

Wakenya gani wanajenga nyumba zao. .

Wakenya asilimia 70 na zaidi hawezi kumudu kujenga nyumba zao... Wanakaa kwenye yale magorofa ambayo kodi yake ni 5K.

Kwa taarifa yako gharama ya umeme Tanzania ni nafuu kuliko Kenya.

Pia Umeme Kenya unakatika kuliko Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
You are debating with a lot of emotions! Eti wakenya hawajengi nyumba? 😂 😂
Kwa hivyo wanaishi juu ya miti na kwenye caves? What a poisoned mind!!
 
Look at how self-contradictory you are. Umesahau kwamba ni wiki iliyopita tu Magu kawaambia muanze kuvaa masks na kumantain social distancing baada ya kirusi kupenyeza hadi ikulu? You look stupid by arguing this way.

These guidelines are followed by all the countries in the world except Tanzania that chose prayer and exotic medicines. How you single out just Kenya is laughable to say the least. Ulitaka nasi pia tuache kuchukua tahadhari tuweke maombi mbele?
Hizi ndio guidelines mnazozifata!

Kwenye "sosho distensi" pia naona wameachana mita tatu tatu

IMG_20210303_085040_426.JPG
IMG_20210303_085052_612.JPG
IMG_20210303_085110_168.JPG
IMG_20210303_085121_776.JPG
 
Tukikuita mpumbavu utabisha!

Jana uliandika hivi "The measures are still in place in Kenya sema tu watu wamelegea kidogo kuzifata." ona ulivyo jikaanga kwenye comment yako

Hizo measures ambazo watu wamelegea zinawasaidia nini?

Viongozi wenu kila siku wanazivunja hizo measures mlizoziweka na huko hapa kupiga panganga!

Hivi kenya mnamentain social distancing labda" sosho distensi"

Usituone wajinga humu kana kwamba hatuoni kinachoendelea hapo failed state.
This is the problem with debating with a conditioned mind na yenye imejaa hasira. My point is, these measures are still in place even though people flaut them. Uvaaji wa mask bado hutiliwa mkazo and people get arrested everyday for not wearing them.

Tofauti yetu na nyinyi Ni kwamba serikali yetu imetuambia the right thing to do, haikutudanganya like your government did to you. As you know it, these measures are meant to prevent infections only up to a certain degree. Suala la watu kukusanyika kwenye mikutano ya kisiasa is an unfortunate one but still utaona watu na barakoa zao midomoni
 
Mimi niaje hasira kisa nini kwanza

Mimi nakupiga sindano nikitumia evidence za picha huku wewe ukipiga mushene.
This is the problem with debating with a conditioned mind na yenye imejaa hasira. My point is, these measures are still in place even though people flaut them. Uvaaji wa mask bado hutiliwa mkazo and people get arrested everyday for not wearing them.

Tofauti yetu na nyinyi Ni kwamba serikali yetu imetuambia the right thing to do, haikutudanganya like your government did to you. As you know it, these measures are meant to prevent infections only up to a certain degree. Suala la watu kukusanyika kwenye mikutano ya kisiasa is an unfortunate one but still utaona watu na barakoa zao midomoni
You can clearly see people are masked
Ukiangalia picha nilizo post waliovaa barakoa ni wachache kuliko ambao hawajavaa.

Embu tizama hizi picha.
Ruto-Nandi-edited-696x392-1.jpg
IMG_20210303_085040_426.JPG
IMG_20210303_085052_612.JPG


Sasa hapo wanajikinga nini?

Mbona hueleweki "Suala la watu kukusanyika kwenye mikutano ya kisiasa is an unfortunate one but still utaona watu na barakoa zao midomoni"

Hiyo social distancing unayotuambia humu kuwa mnaifata ndo ipi?
 
Back
Top Bottom