Ewaaaaah! Yani umegongelea msumari mahala pake huaga unaongea point Sana sema dawa za mental zibadlishwe kufanya kazi Ila basi tu😃
Ni kweli Sana hata mimi juzi nimeshangaa Sana kuona eti Tanzania wanaendea kujenga BRT wakati hawaitaji😃 na BRT ya Kenya iko Sawa Sana🙂
Hata hiyo stendi haina maana vile ni Bora serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania Inge consider usafiri wa miguu,baisikeli au kusisitiza ufugaji wa punda kwa ajili ya Transportation from mkoa to mkoa🙂hata hizi meli na Geri wana introduce kushindana na Kenya si za kiwango🙂
Najiulizanga kwani ni Tanzania ina leta treni za kisasa electric na vile ya diesel au mkaa iko Sawa🙂
Wakenya tuko na akili Sana sema slums ndo huaga zinaturudisha nyuma 🙂