The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Bongo huwezi kuta usenge km huo, cc elimu imetusaidia sana hatuwezi kufanya jambo la hatari na la kushangaza duniani km hilo, unajua kwa nini Kenya inaitwa failed state? Ni kwasababu ya mambo ya kushangaza km hayo.that issue was dealt with immediately, ingekuwa ni bongo i bet hainge make headlines
Kenya Power Takes Action After Three Giraffes Are Electrocuted In Soysambu Conservancy - Nairobi Wire
Kenya’s electricity distributor Kenya Power has finally responded following the death of three more giraffes by electrocution in the Soysambu Conservancy in Nakuru. The endangered Rothschild giraffes were electrocuted over the weekend; two males died Friday morning whereas the third one was...nairobiwire.com
View attachment 1710395View attachment 1710396View attachment 1710397
Shirika linawezaje kujenga power poles zilizo chini wakati wanajua fika kuna wanyama warefu? Mby zaidi ukitaka kujua hii nchi ni ya kipumbavu hakuna mtu aliyewajibishwa, kwa hiyo watu wanafanya uzembe km huo wakijua hakuna kuwajibishwa, failed state.
Hii issue imeniuma sana sana.


