hawapendi ukweli kamwe.,Endelea kupingana na stock photos. Wazimu tu ndiye anayeweza kupingana nazo. Mbona hata @Natonjr anazitumia kwenye posts zake na hatupingi?
Endelea kupingana na stock photos. Wazimu tu ndiye anayeweza kupingana nazo. Mbona hata @Natonjr anazitumia kwenye posts zake na hatupingi?
To servive lazima ukwame hapa long ago., sasa ni NMS in Nai., sijui mtatoa wapi vijisababu 😂 😂 😂 😂 , jikubali mlivyo mtapata mkombozi hivi karibuni, na sio Magufuli kama mnavyo dhania😂😂😂Bado ni slum tu sababu kila kona shacks zipo intact kama Kawa
View attachment 1710709View attachment 1710710View attachment 1710711
😅😅😅😅😅Mkuu leo umeweka picha mpya kabisa sijawahi kuziona, daahhh Kenya chafu jamani![]()
Nairobi hata 50% hamfiki sababu wananchi wote wapo kwenye slums
Kwa hivyo wewe unachokora maisha ya watu kwenye mitandao?Kwn we unayeongea hapa haujui kwmb kuna Wakenya wenzio wa humu wanaishi Dar? Ni walimu na wanaijua Dar vzr sn kuna mmoja anaitwa Engineer levin Devin yeye ni mkenya anayefundisha hapa tz nafikiri anafundisha primary lkn ni English medium, yeye huyu bwn ukimkuta humu anaponda Dar lkn kwenye ya instagram kaweka lipicha likubwa la Dar akionesha kuipenda, na huwa hamuondoki mkishaonja maisha ya Tz![]()
Mumeanza kukubali.DSM kuna changamoto Zake Ila sio kama za Nai🙂mko level yenu
Wanajua, linawaudhi sana, ushuzi haufichiki pale, a big percent, kote kote.Mumeanza kukubali.
Mumeanza kukubali.Tz ni Dar tu ndio imezingua baadhi ya sehemu lkn kwengine kuko poa nenda Lindi, Tanga etc kupo vizuri.
Tumeanza kukubali nn hapo ana maana changamoto zenu ni mbaya zaidi! Hilo linajulikana! usafi, public transport, umeme na maji mpo hovyo!Mumeanza kukubali.
Hahaha leo ndio mara ya kwanza kuona hawa watu wakikubali. Huwa wanakataa kwamba Dar pia ina uchafu.Wanajua, linawaudhi sana, ushuzi haufichiki pale, a big percent, kote kote.
Slums zimeelemea mifumo ya maji Nairobi'sCCM at its best😂😂😂😂😂, post this nonsense kwa habari na hoja mchanganyiko uone moto kwa wapenda ukweli na wako na facts😂😂
Hahaha. Ulikuwa umepotea kumbe hio ndio kazi uliokuwa ukifanya?😅😅😅😅😅
Nimeupdate library yangu recently, yaani saivi natoa vitu latest HD vyote konki 😅😅
Slums zimetaradadi
Haha hii habari huna?Hahaha. Ulikuwa umepotea kumbe hio ndio kazi uliokuwa ukifanya?
Hii figure ya 92% itakuwa sio ukweli. Mna evidence gani? Au maneno yake ndio evidence?
Wacha ufala njoo Dar uone! zaidi ya imetumika $1bln maji yanatoka source tatu Wami, Ruvu na Kisarawe huko!Hii figure ya 92% itakuwa sio ukweli. Mna evidence gani? Au maneno yake ndio evidence?
Wakati Dar ipo 95% ya tap water supply to the rest of the city which is two times biggest than nairobi