Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We

Duh! Kumbe hawa mang'ombe wakisema wana maji 95% ya makaazi ya Dar kumbe wanamaanisha kwamba wamefunga mifereji communal nje ya estate ili kila mtu aje achote? Hahaha. Mimi nilidhani kwamba kila nyumba imefungiwa mfereji wake ndio maana nikashangaa sana na kuwapa kongole maana walikuwa wanakimbizana na Marekani mahali ambapo karibu kila nyumba ina mfereji ndani ya nyumba. Nilikuwa nimeshaanza kuona Dar kwamba imeanza kuwa Ulaya kumbe bado sana. Nilijua tu kuwa nchi masikini za Afrika mashariki hazitafika haraka mahali pa kila nyumba kuwa na mfereji ndani ya nyumba. Hii mifereji communal ambayo ipo nje ili kila mtu aweze kuchota ipo hata hapa Kenya.



Cc Geza Ulole Naton Jr
Nilikuambua get in the bus or KQ nenda kajionee., kwao ni kawaida sana, inakaa villagish hivi., Kenya nyumba nyingi ziko na taps za maji ndani, ama kwa compound incase not all houses, shida ni flow ya maji, not mifereji, maji inapotea in some places na kwingine inakuja like thrice a week, sio eti tap haziko. Hakuna flat haina mfereji ndani ya nyumba, shida ni flow., but NMS wametoa cartels who have been blocking water ndio wapate fursa ya kuuza., extreme slums kama kibera ndio wanaishi sana sana hii maisha ya Dar ya foleni kwa taps., jeshi amefanya kazi sana, kwanza dealing with cartels!.,
 
Wacha upumbavu last mile connection huwa kwa mteja yaani serikali inaleta maji mpaka mtaani then mwananchi unalipa ku-connect Kwa nyumba yako at a very low cost! Nyie hamna hilo mna water kiosks na pia magari ya ugawaji maji! Usifananishe Nairobi na Dar kwenye hili hata siku moja!
Tony254 Unacheka nn tangu uanze kuvuta ugoro umekua na uzezeta!
 
Wacha upumbavu last mile connection huwa kwa mteja yaani serikali inaleta maji mpaka mtaani then mwananchi unalipa ku-connect Kwa nyumba yako at a very low cost! Nyie hamna hilo mna water kiosks na pia magari ya ugawaji maji! Usifananishe Nairobi na Dar kwenye hili hata siku moja!
Kuna estates nyingi sana Nairobi zina piped water. Kwani unadhani Nairobi water company kazi yao ni gani? Wao ndio wamefunga mifereji Nairobi ndani ya nyumba za watu. Naweza sema zaidi ya nyumba 30% Nairobi zina mfereji wa maji.
images (7).jpeg
 
Kuna estates nyingi sana Nairobi zina piped water. Kwani unadhani Nairobi water company kazi yao ni gani? Wao ndio wamefunga mifereji Nairobi ndani ya nyumba za watu. Naweza sema zaidi ya nyumba 30% Nairobi zina mfereji wa maji.
What is mifereji sisi Dawasco huunganisha mabomba ya maji kwenye nyumba za watu hatufungi "mifereji" is open water canal/channel/stream!
 
What is mifereji sisi Dawasco huunganisha mabomba ya maji kwenye nyumba za watu hatufungi "mifereji" is open water canal/channel/stream!
Exactly what Kenyan water companies does., then unalipa to connect into your house. Shida ni flow ya maji, not connectivity.
 
What is mifereji sisi Dawasco huunganisha mabomba ya maji kwenye nyumba za watu hatufungi "mifereji" is open water canal/channel/stream!
Whatever engineer, you know what I mean. Wacha mambo ya semantics. Sisi tunaconnectiwa hadi tap kwenye nyumba. Nyinyi kama hamconnectiwi hadi tap ndani ya nyumba basi hio ni shida yenu.
 
What is mifereji sisi Dawasco huunganisha mabomba ya maji kwenye nyumba za watu hatufungi "mifereji" is open water canal/channel/stream!
Halafu channel/stream ndio nini? Sio kila mtu ni engineer hapa.
 
Dar haikomboleki karne hii, wachana na Nairobi na shida zake., bado mpo mashambani tu, licha ya kukua na mifereji ya maji, yaani maisha ni yale yale ya vijijini, kama vile watu wanaenda mitoni kuteka maji, yaani pale Dar nyie mnatunga folen mahali hizo taps zimewekwa, kwani hawawezi kuweka mfereji kwa kila nyumba ama ni umasikini umekithiri sana? ama ni ujamaa? sielewi, kaka nifahamishe kikamilifu..,
Mitungi mumejaza kwa nyumba.., licha ya maji maisha inabaki ya kishamba tu.., inaeza kua mko na maji 95% to 100% lakini sasa weka mpangilio mwafaka, Dar ni mashambani tu 😂 😂 😂 😂
View attachment 1710835
View attachment 1710808
View attachment 1710809

View attachment 1710815
View attachment 1710818

View attachment 1710822
View attachment 1710823
View attachment 1710829
View attachment 1710830
View attachment 1710836
View attachment 1710838
Asante kwa somo la history 😅😅😅
 
We

Duh! Kumbe hawa mang'ombe wakisema wana maji 95% ya makaazi ya Dar kumbe wanamaanisha kwamba wamefunga mifereji communal nje ya estate ili kila mtu aje achote? Hahaha. Mimi nilidhani kwamba kila nyumba imefungiwa mfereji wake ndio maana nikashangaa sana na kuwapa kongole maana walikuwa wanakimbizana na Marekani mahali ambapo karibu kila nyumba ina mfereji ndani ya nyumba. Nilikuwa nimeshaanza kuona Dar kwamba imeanza kuwa Ulaya kumbe bado sana. Nilijua tu kuwa nchi masikini za Afrika mashariki hazitafika haraka mahali pa kila nyumba kuwa na mfereji ndani ya nyumba. Hii mifereji communal ambayo ipo nje ili kila mtu aweze kuchota ipo hata hapa Kenya. Na haturingi. Hata slums za Kenya siku hizi zina mifereji za kufungiwa nje.



Cc Geza Ulole Naton Jr
Kwanza mfereji ndio nini?
Sisi hatuna mfereji tuna tap water mpaka chooni
 
Back
Top Bottom