Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We sio bure kachekiwe akili kidogo pale mathare hospital 🙂
Aah unakujua mathare...aisee mi sijui hospitali ya wazimu huko tz yaitwaaje...hii yamaanisha nchi zilizo stawi zinajulikana zaidi....
 
Aah unakujua mathare...aisee mi sijui hospitali ya wazimu huko tz yaitwaaje...hii yamaanisha nchi zilizo stawi zinajulikana zaidi....
Kuna moja inaitwa buza kwa mama bonge general mental hospital 🙂huaga iko open kwa public 24hrs🙂alafu nyingine inaitwa viwanja vya fisi district hospital hapo huduma zao ziko poa tu,unaweza agiza dawa pia online 🙂
 
Miundombinu siku zote ndio chanzo cha ustawi wa uchumi. Hizo bus stand kitu cha kwanza zitapunguza msongamano wa magari mjini maana utakuta kwamba zamani mabasi yalikuwa na mazoea ya kupark kando kando mwa barabara hivi kupunguza nafasi ya magari mengine kupita. Halafu pia mabasi kupark ndani ya mji kunaleta msongamano ndani ya mji au hata ajali mjini maana yanaendeshwa kijeuri. Hii bus stand nadhani ipo nje kidogo mwa CBD kwa hivyo itahamisha msongamano hadi huko nje ya CBD. CBD haistahili kuwa na stage ya mabasi au daladala. Hata Kenya tuna mpango huo wa kuhamisha stage ya daladala kutoka CBD hadi nje nje mwa mji.

đź’Ż đź’Ż
 
Wakuuu hii interchange imeleta mabadiliko makubwa pale ubungo, huwezi amini tangu imeanza kutumika ndio kwanza nimepita jana hapo.View attachment 1709730
IMG_20210222_150725_360.jpg
View attachment 1709731
 
Wakuu hii nchi inajengwa asikwambie mtu, wacha hawa viongozi wapumbavu wastaafu wamchukie Magu mana anawachoresha sn wanaonekana hakuna walichokuwa wanakifanya ofisini, hii hapa ni road ipo pale ubungo mawasiliano (nyuma ya ubungo interchange) mbele yake kuna bridge nimeweka hapo picha
IMG_20210222_144628_189.jpg
IMG_20210222_144608_030.jpg
IMG_20210222_144558_604.jpg
IMG_20210222_144548_508.jpg
IMG_20210222_144536_517.jpg
 
The leadership at TFF has screwed us over for too long. Hatuna local kocha wakufundisha timu yeyete Tanzania.

Hiyo timu iko chini ya Mjinga mmoja wakuitwa Jamuhuri Kiwehlo "Julio" - the fool had never even once won a Chicken Cup!

Only Taifa Stars will soon be doing so great after the arrival of the danish coach with vast experience, Kim Poulsen. Under him, you will begin to see Taifa Stars playing an eye catching brand of attacking football.
julio hamna kitu kabisa wasimuhusishe kwenye team hata moja hana uwezo kabisa
 
Back
Top Bottom