Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nyie jamaa bana 😂😂😂😂😂😂
mbona yapo mengi tuu apa dar anyway kuna costa apo nyuma imeandikwa city bus dunianzima za hivyo znapatkana tz tuu
Waafrika tumerogwa. Eti nchi masikini kabisa duniani ina concept cars na hata barabara ni mbovu ina bumps na sio expressway. Haya magari yameundwa kuendeshewa kwenye expressways za Marekani au UK au autobahn za Germany. Mahali ambapo hakuna bumps na hakuna roundabout. Hamuwezi kusomesha watoto wenu vizuri au kuwapa kazi nzuri lakini tayari mna concept cars? Waafrika aliyeturoga kafa.
 
Waafrika tumerogwa. Eti nchi masikini kabisa duniani ina concept cars na hata barabara ni mbovu ina bumps na sio expressway. Haya magari yameundwa kuendeshewa kwenye expressways za Marekani au UK au autobahn za Germany. Mahali ambapo hakuna bumps na hakuna roundabout. Hamuwezi kusomesha watoto wenu vizuri au kuwapa kazi nzuri lakini tayari mna concept cars? Waafrika aliyeturoga kafa.
ingia @hotride tusichoshane !!
af skuizi naona imeanza kuzoeleka kamavile sio ishu tena.
20210222_095147.jpg
20210222_095020.jpg
20210222_095002.jpg
20210222_094944.jpg
 
Wewe ni fala sana. Those are construction bulldozers that were initially working on the Tanzanian side and now is being transferred to Uganda to do another job. That's thing didn't pass through Dar is slum port. You make too much noise wakati Mombasa port alone imeshinda port ya Dar 3 times.
Teh.. hiyo ni construction bulldozer? Wewe hamnazo kweli ..

Hiyo ni tanker kijana. Halafu Dar port it's like a parking lot at the moment..kule coco na sea cliff vyombo vinasubiri tu. Enyewe hapa kuna meli imekaa wiki nzima ikisubiri ku berth.

Hiyo mombasa hali yake ikoje? Hiyo mizigo 3 times ya Dar huwa inaishia wapi?
 
Teh.. hiyo ni construction bulldozer? Wewe hamnazo kweli ..

Hiyo ni tanker kijana. Halafu Dar port it's like a parking lot at the moment..kule coco na sea cliff vyombo vinasubiri tu. Enyewe hapa kuna meli imekaa wiki nzima ikisubiri ku berth.

Hiyo mombasa hali yake ikoje? Hiyo mizigo 3 times ya Dar huwa inaishia wapi?
Mombasa port hakuna meli inayosubiri one week ili kuberth maana ipo efficient. Sisi hatuna containers zilizopangwa kwenye terminal kama nyinyi. Container terminal yetu iko almost empty kwa sasa. Hata kuanzia last week meli inawasili na mizigo inaanza kupakuliwa straight from meli straight to the train. The only East African country ambapo mizigo inapakuliwa straight from meli to train bila kushushwa kwenye port. Apana cheza na Mombasa port.

Cc Geza Ulole
 
Teh.. hiyo ni construction bulldozer? Wewe hamnazo kweli ..

Hiyo ni tanker kijana. Halafu Dar port it's like a parking lot at the moment..kule coco na sea cliff vyombo vinasubiri tu. Enyewe hapa kuna meli imekaa wiki nzima ikisubiri ku berth.

Hiyo mombasa hali yake ikoje? Hiyo mizigo 3 times ya Dar huwa inaishia wapi?
Katika hali ya kujisifia unakosea na kujiponza, port efficiency yenu ni mbovu ndio mana meli zinajipanga kwenye maji.
 
Kw sasa nikikwambia nipo nairobi utaamini[emoji1787][emoji1787]
Halafu mbona wewe ukiskia jiwe limefikia kw linta chato huaga unanengua sana
Achana na maneno ya kwenye kanga🙂swali simple hawkers wapo ama hawapo kwenye interchange zenu pale githurai na kariobangi roundabout mliwatoa? Maana itakua hatua nzuri 🙂
 
Ushagundua kuwa huyo jamaa amefurahi just because he is going to Nairobi?[emoji23][emoji23]
Kwa mawazo yako unafikiria nimekuja Nairobi kutalii au kushangaa maghorofa? polee Sana nipo kwa ajili harakati zangu🙂
 
According to research nimegundua Dar ni mji zero kabisa katika real estate, nimeulizia malazy humu wanaishi wapi wote wakasepa. Kando na vigorofa vitatu, kariakoo kwa warabu na wahindi, ubungo ya msaada hakuna tofauti na Mogadishu.
Kwani kulikua na ulazima wa kukumbia sehemu tunazo ishi?🙄
 
Teh.. hiyo ni construction bulldozer? Wewe hamnazo kweli ..

Hiyo ni tanker kijana. Halafu Dar port it's like a parking lot at the moment..kule coco na sea cliff vyombo vinasubiri tu. Enyewe hapa kuna meli imekaa wiki nzima ikisubiri ku berth.

Hiyo mombasa hali yake ikoje? Hiyo mizigo 3 times ya Dar huwa inaishia wapi?
Hata huna aibu kusema kuwa meli inangoja for one week. In Mombasa port meli hata haimilizi hata siku mbili ikingoja. That just shows how Dar port operations is shit.
 
Wewe huna pesa ya kutalii[emoji23][emoji23]. You have just been sponsored to go for a conference at KICC
Kwa mawazo yako unafikiria nimekuja Nairobi kutalii au kushangaa maghorofa? polee Sana nipo kwa ajili harakati zangu[emoji846]
 
Achana na maneno ya kwenye kanga🙂swali simple hawkers wapo ama hawapo kwenye interchange zenu pale githurai na kariobangi roundabout mliwatoa? Maana itakua hatua nzuri 🙂
Nyinyi mna interchange mbili nchi nzima.
 
Back
Top Bottom