komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hoja kwishaaaUmeumiza wengi ona![]()
Hoja kwishaaaUmeumiza wengi ona![]()
Anza kupost tuNataka battle ya sehemu chafu Nairobi vs Dar, mko tayari tuanze? Mnaogopa nn![]()



Tupe neno moja kuhusu hyo pichaUlitakaje sasa huyu ni raia namba moja wa Jamuhuri ya Watanzania.Wakenya mnawashwashwa sana na huyu mzee wa watu.Kwani kawafanyaje?!,sisi ndo tunaotakiwa kuongoza Afrika Mashariki iko wazi!! "Don't Hate Me Hate the Game" Tumeamua kuwatoa hapo juu kwa strategies ona mnavyong'oka tena mkitazama kwa uchungu mkubwa.Na ukiwa na roho mbaya ndg yangu maumivu huwa maradufu.Bomba la mafuta hiloo, that's the best move ever.Halafu unamskia mtu anaongelea Toll road ambayo makusanyo pia si yao, inasikitisha sana.


Kwhyo palipotengwa ni hicho kijiji wala sio huo msituUnajua maana ya maeneo kutengwa au huelewi kiswahili![]()


Nakwambia, yani hta hyo picha niliipuuza maskini..99.9% of this area is filled with shacks.
So pesa yake itarudi vp au nyie ndg zake amewatengezea bure.Contractor mwenyewe ndiye anagharamikia ujenzi.
🤣🤣🤣🤣🤣Pole kwa kupata kichefu chefu😁Oyaa hizi picha muwe mnatupamkiwa mnapost.
Niko nakula hapa![]()
Zitarudi kupitia toll fees.So pesa yake itarudi vp au nyie ndg zake amewatengezea bure.
Mnatakiwa mmaintain huo mchezo usiwe ushindi wa mara moja🙂Angola kwenye bb sio mchezo, kupata ushindi ni jambo kubwa sana.
Sasa usichoelewa hapo ni nini? hiyo road ni mkopo na watalipa wananchi, kwa tafsiri nyingine ni kwamba GoK haina uwezo wa kulipa yenyewe km yenyewe imewapa wananchi walipe kwa mwamvuli wa ppp.Zitarudi kupitia toll fees.
Heshimuni ndungu zenu matajiri basindiyo mmetushinda kila kitu,,,,,
ila kinachonifurahisha bado mpo hapa mnapiga makelele wakati mmetushinda kwa kila kitu...
what's wrong broda....?..umewahi ona wapi tajiri akipoteza mda mwingi kubishana na maskini...?
tungekuwa sisi WaTz tusingeneng'eneka wakati tunaushindi![]()
Miradi yote lazima ilipiwe na wananchi Kwa njia moja au nyingine...au tz hawalipi kodi...ama hawelewi hata kodi ni nini....kwa sababu kizungu huwapiga Chenga hawa jirani aisee...hupitwa na mengi saanaSasa usichoelewa hapo ni nini? hiyo road ni mkopo na watalipa wananchi, kwa tafsiri nyingine ni kwamba GoK haina uwezo wa kulipa yenyewe km yenyewe imewapa wananchi walipe kwa mwamvuli wa ppp.
Bana... Eh yani ni kama mavidah angalia hio area vile ni kubwa
Lazima tuwafikie huko, kiwanda in full capacity kinaweza kuzalisha jozi million 1.5 za viatuMbona hamjazileta Kenya?
Yaani na uchafu huu wote Bado kenya. imaishinda tz zaidi....just imagineSasa we linganisha hapo na huku kwenu alafu hapo ni wapi dar? Maana hizi picha ni mathare,Soweto,mukuru,na korogocho👇👇👇👇 👇👇👇🙂
Wakunya ni failures kwenye kila kitu. Huu ukatili kwa wanyama ni uzembe mkubwa sana.Yaani na uchafu huu wote Bado kenya. imaishinda tz zaidi....just imagine
looks like kiberaYou are denying your country?Hii dumpsite ni Dar and 90% of Dar looks like this.
View attachment 1708045
sio bongo tuu bali Africa nzima hakuna wa kuwashinda 😂😂😂😂😂😂😂Yaani na uchafu huu wote Bado kenya. imaishinda tz zaidi....just imagine