The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Weka evidence km mm.Your earlier argument ulikua unasema nini kuhusu Kibera?.,
Dar ni slumish/ushago 80 - 90%.,
Weka evidence km mm.Your earlier argument ulikua unasema nini kuhusu Kibera?.,
Dar ni slumish/ushago 80 - 90%.,
Twende kazi mana nimechoka upuuzi, weka humu hizo slumish areas in Tanzania na mm nianze moja baada ya nyingine hapaYour earlier argument ulikua unasema nini kuhusu Kibera?.,
Dar ni slumish/ushago 80 - 90%.,













😀😀😀😀😀Ukweli ndio huwa hampendi kabisa, mnapenda jinsi mnavyowaongopea watu eti Kenya ni most developed country in East Africa pumbavu kabisa, yn kanchi kamechangamka kaeneo kamoja tu tena co kaeneo kote ni baadhi tu zen the most developed country in East Africa![]()
Sio kwa sasa tuu,na hata milele.Ni kweli na mm nafurahia energy mix inayoenda kutokea na in future naona mitambo ya kinyerezi 1 na 2 itakuwa inatumika mara chache hasa kama mabwawa yatukua full ili kupunguza cost
Hydro is the cheapest kwa sasa
Kuna wakuria,wajita na wasimbiti original 🙂hawa wanapatikana mkoa wa mara yaani kiufupi hawa jamaa wanatosha Ku descpline Kenya nzima🤣🤣🤣🤣🤣Kabila gani hilo mkuu?
Twende kazi mana nimechoka upuuzi, weka humu hizo slumish areas in Tanzania na mm nianze moja baada ya nyingine hapaView attachment 1694333



most of those I can not compare with your shitty residentials ata kidogo

, kwenyu kumetapakaa kote kote ushuzi, hakuna mahali pa kuweka kidole.., poor village standards alafu mnaita eti city


, nilijua utakurupuka tu., Hauijui Nairobi, we ain't your peers., 

.,Hivi unajua maana ya Jiji? U really call Entebbe a city?Hahaha. Hio expressway ya Uganda imepita kwenye vichaka na misitu. Imeconnect Entebbe na Kampala na kuna misitu na vichaka kati ya hizi jiji mbili. Kampala city yenyewe haina expressway inayopita katikati yake. Nairobi ndio city ya Kwanza ambayo expressway inapita katikati.
Wabongo nanyi lazima mje tu maana hamjawahi kuona expressway maishani mwenu.
Sasa ndio unitafutie hyo list ya hzo slums na idadi ifike milioni mbili, kibera tayari 250k kulingana ripoti yenu.Ok,kwa hiyo tunakubaliana nairobi ina watu 4 mill,kati ya hao 2.5 mill are slum dwellers..!so ni sahihi kwa ile ripoti kwamba over 50% of nairobians wanaishi kwa slum.
Hiyo maana yake over 60% ya wakazi wa nairobi wako kwa extreme poverty..
maneno ata kwe khanga yapo......most of those I can not compare with your shitty residentials ata kidogo
![]()
, kwenyu kumetapakaa kote kote ushuzi, hakuna mahali pa kuweka kidole.., poor village standards alafu mnaita eti city
, nilijua utakurupuka tu., Hauijui Nairobi, we ain't your peers.,
Dar yoote ni slum by standards, nyie mnaita unplanned settlements, nyambaff.,
Kuna mwenzako kakimbia janaacha uongo dogokibera pekee inanyumba laki2 zizazohost 2.5ml dwellers vipi ziwani,korogocho, mukuru, kariadudu ?
![]()


alkua anakimbia nini?wapi?sangapi?Kuna mwenzako kakimbia jana![]()
Nawe pia uelewe unapoambiwa nairobi ina watu wengi lkn ardhi ndgogo kisa ina appartments nyingi..Newyork kuna apartment yenye floor 78 ,halafu unajilinganisha nae,unajua hiyo building inahifadhi watu wangapi???..elewa unapoambiwa developed city
Umeelewa nilichokiulizaDar ni jiji kubwa haswaa kila uendapo utakuta watu kibao iwe city centre au nje ya mji kama chanika,mbagala chamazi,tegeta bunju unakutana na makundi ya watu kama vile uko posta au kariakoo,dar ni kiboko hapa east
Mazee mpka nimeshangaa walai, yani ywaona vile napenda sana kutumia kiswahili basi ndio atakuja hapa kunichengaKwani hujui kwamba mtanzania na kiingereza ni kama maji na mafuta?
and yet real estate industry ya dam imewaacha kwa mbaliNawe pia uelewe unapoambiwa nairobi ina watu wengi lkn ardhi ndgogo kisa ina appartments nyingi..
Ukweli ndio huwa hampendi kabisa, mnapenda jinsi mnavyowaongopea watu eti Kenya ni most developed country in East Africa pumbavu kabisa, yn kanchi kamechangamka kaeneo kamoja tu tena co kaeneo kote ni baadhi tu zen the most developed country in East Africa![]()





tz ni kama maji yani ni hivii ukitaka kuwasiliana na watanzania shurti ujifunze kiswahili utaki unaacha!!Mazee mpka nimeshangaa walai, yani ywaona vile napenda sana kutumia kiswahili basi ndio atakuja hapa kunichenga
Mimi sina hamu yakujua ya kwako na sitakiHamu utakuwa nayo tu, yn mtoto wa kibongo nifunge safari mpk huko alafu uniambie huna hamu we vp?

