Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliyewaambia tunataka chanjo yao nani

WHO Yainyima Tanzania, Burundi Chanjo ya Corona
Screenshot_20210204-195427.jpg
 
Hilo si ni neno la kingereza auu?
Hilo sio neno la kingereza. Machinga kulingana na jinsi mnavyowazungumzia watakuwa ni watu wanaouza bidhaa mbali mbali na wanayatandika chini kwenye barabara. Hao pia wako Kenya na ni kero pia huku. Lakini huku hatuna jina maalum kwao. Hao wanaitwa tu wafanyibiashara rejareja.
 
Wafanya biashara ndogondogo,mitaji yao huwa chini ya 2 mill tsh..
Wenyewe huuza chochote tu radio,phone accessories,nguo,mikate,viatu,daftari,vitabu,movie collection etc
Nyie mnawaitaje?.
Huku hatuna jina maalum kwao. Tunawaita tu wafanyibiashara au wafanyibiashara rejareja.
 
Siyo kweli, Tanzania imekuwa na majaribio mengi ya upinduzi kutoka ndani na nje kuliko nchi yoyote Afrika Mashariki. Lakini yote yameshindikana.

Utulivu wa Watanzania ni mafaniko ya mifumo yetu ya ulinzi na usalama. Rebels wamekuwepo sana ila wanazimwa kimya kimya. Tanzania kila mtu anajukumu la kuilinda nchi yake, mgeni yoyote akiingia mahali, anakuwa keshajulikana. Ni kweli Mwalimu ndiye aliyeweka mifumo mingi ya usalama, mmoja wapo ni huu wa nyumba kumi kumi.

Zamani Dar kulikuwa na vikundi vya kihuni (rebels) kama kiboko msheli, komando yosso na juzi juzi tumekuwa na panya rodi. Vyote hivyo vilisafishwa kwa mtindo ule ule uliomaliza kundi la magaidi kibiti. Linapokuja suala la ulinzi, Tanzania huwa haicheki na kima.

Hili ni kabila huko kusini mwa Tanzania, vijana wa huko walikuja Dar kwa wingi kipindi cha Rais Mwinyi (1985 - 1885). Vijana hao wakaanza hustling ya kutembeza bidhaa (nguo, mifuko, n.k) mjini ndipo wakaitwa wamachinga, japo kuwa kwa sasa mtu yeyote anayetembeza bidhaa barabarani anaitwa mmachinga.
Asante umejibu vizuri sana.
 
Cc Tony254 kuja ukule vidonge vyako hapa, unaleta hating zako hapa wkt Entebe expressway ndio the most expensive in Africa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Entebbe expressway is not more expensive than Nairobi Expressway.
 
Kuna wakuria,wajita na wasimbiti original 🙂hawa wanapatikana mkoa wa mara yaani kiufupi hawa jamaa wanatosha Ku descpline Kenya nzima🤣🤣🤣🤣🤣
Kenya pia kuna Wakuria. Mkileta Wakuria wenu sisi tunaleta wetu. Halafu Kenya ina kabila nyingi vichwa ngumu hata wakati mwingine wanashinda serikali nguvu. Kabila mbili wasumbufu zaidi ni Waturkana na Wapokot. Ila kwa hao wawili Wapokot ndio ni moto fire. Hizo kabila mbili huwa wanatembea na bunduki hadharani na hata wana ubavu wa kufyatulia polisi risasi na kutoroka msituni.
 

hapo JPM ndo kaonyesha ubabe.. sasa WHO wanataka kuonyesha ubabe kumbe kuna mtu tayar walionyesha ubabe tayar wa kuwakataa [emoji23][emoji23]

mjue nn, hii corona wakat ‘mwingine’ naona kama ni nyundo ya aliejuu kwa wazungu wote [emoji23][emoji23].. haiwezekani miaka yote sisi waafrica ndo tuumwe tu, sasa naona aliejuu kageuka kibao kwa gonjwa moja matata ambalo mabeberu wote litawaadabisha [emoji23][emoji23].. sema corona [emoji119].. si mzungu si muhindi si muasia.. wote imewaadabisha
 
Kenya pia kuna Wakuria. Mkileta Wakuria wenu sisi tunaleta wetu. Halafu Kenya ina kabila nyingi vichwa ngumu hata wakati mwingine wanashinda serikali nguvu. Kabila mbili wasumbufu zaidi ni Waturkana na Wapokot. Ila kwa hao wawili Wapokot ndio ni moto fire. Hizo kabila mbili huwa wanatembea na bunduki hadharani na hata wana ubavu wa kufyatulia polisi risasi na kutoroka msituni.
hivi silaha wanapata wapi?risasi je?
maana police wenu wanawaanya ile mbaya
 
Dar bado inakuumiza kichwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Village haiwezi nitesa[emoji28][emoji1787][emoji23][emoji23]., hiyo ni kioja kwangu., Mimi nawacheka mnavyo jikaza kuitetea Dar kwa kuidhalilisha Nai ili Dar ionekane lakini wapi [emoji1787][emoji23][emoji23] dunia inajua ukweli[emoji1787][emoji23], yaani in Dar mnajaribu kuziba tako moja lingine linachomoka, halizibiki., ukweli kuhusu Dar haifichiki[emoji28][emoji1787][emoji23][emoji23] , mimi nangoja electric train yenyu., Station si mbaya hivyo., but not comparable to Kenya's.,
 
Ulimaliza na nani 🤣🤣🤣🤣 mwanza ulimaliza na nani wewe si ndio iliwakimbiza humu mukabakia kupost hotels za nyali huko
unalia lia bado., ulijaribu kuleta hadi miji mingine lakini wapi., nje ya Dar ni vituko., standards za Uganda., only Dar can compare na hii👇👇👇ukitaka lia kabisa😂😂😂 iko wazi peupe, ama nikusambazie data kijana fukara? najua hii video ulishindwa kuitazama ju imekuudhi mbaya 😂 😂 😂 ulikua umedanganya watu humu.,
 
Back
Top Bottom