babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Nashukuru sasa hivi Dodoma mipango miji wanajitahidi sana.Hii ndiyo changamoto pekee ukiacha ya ujenzi wa kiholela wa kujijengea hovyo hovyo ambapo naona imekosa dawa.
Huwa nafanya kazi mikoa miwili.
Siku mbili Dar na siku mbili Dodoma.
Ila siku hizi nimetokea kuvutiwa sana na Dodoma 😂😂😂
Naweza kaa weekend nzima plus siku mbili za kazi.
Nadhani nitahamia moja kwa moja Dodoma.









