Kama nchi tunaona ili tuwavutie wawekezaji wapya na waliopo inabidi tupunguze gharama ya undeshaji ambayo kwa kiasi kikubwa (approx 20% plus) inaenda kwenye Energy. ( Baadhi ya projects nilizowahi kufanya inaonesha 30% huwa inaenda kwenye Energy pekee).
Kama mtu anatumia 100sh per unit ukimpunguzia hadi 30sh utakuwa umeongeza uzalishaji kwa 60%.
Hapa si tu umemsaidia muwekezaji ila pia umemsaidia consumer.
China imekuwa haraka sana kwenye viwanda kwa sababu Energy ni Cheaper.
Umeme tulionao sasa ni ghali kidogo
Sent using
Jamii Forums mobile app