Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ss na ww andika article yako uwaulize [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona unajibu hoja nkm upo kijiweni[emoji1787]
Leo nakwambia umeingia kumi na nane, hakuna waku kusaidia na vi emojis ndio mvuruge mada..
Yani hapa ni hoja kwenda mbele, ila km umeishiwa kunengua rukhsa
 
The best 007 kwn umekimbia, au ndio unaandaa list ya hzo 199 settlements zilizobaki ndio angalau ukija utimize mahesabu yako kutoka kw link ulizoleta[emoji1787][emoji1787]
Pole sana..
Yani slum ya 250k people ndio iwe biggest in africa na duniani[emoji1787][emoji1787]
So unamlilia nani ss, kwn ni mm ndiyo nmeanzisha mfumo wa slums in Kenya?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mbona unajibu hoja nkm upo kijiweni[emoji1787]
Leo nakwambia umeingia kumi na nane, hakuna waku kusaidia na vi emojis ndio mvuruge mada..
Yani hapa ni hoja kwenda mbele, ila km umeishiwa kunegua rukhsa
Kwahyo leo tumekubaliana Nairobi nzima ni slums everywhere [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
 
Mbona unajibu hoja nkm upo kijiweni[emoji1787]
Leo nakwambia umeingia kumi na nane, hakuna waku kusaidia na vi emojis ndio mvuruge mada..
Yani hapa ni hoja kwenda mbele, ila km umeishiwa kunegua rukhsa
60% of Nairobi residents are slum dwellers [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji2781][emoji3545]
 
Heheee!!jamaa leo kaingia cha kike Tony254 Nicxie kuanzia hesabu kingenge na elimu vyote vinampiga chenga..
Kabaki na utahira na uzezeta tu[emoji1787][emoji1787]
Hv wewe tukianza kushindana kuhusu hesabu na elimu utawezana na mm wewe au unaona nnavyocheka humu unadhani saizi yako mie, jaribu uone[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
 
Hv wewe tukianza kushindana kuhusu hesabu na elimu utawezana na mm wewe au unaona nnavyocheka humu unadhani saizi yako mie, jaribu uone[emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
Kheee!!yamekua hayo tena profesa, kisha ukitaka kunijua mie kutoka rangi, majina kamili, maisha yangu halisi, elimu pale nilipofikia, kazi ninayofanya mbona kzi rahisi tu..

We njoo mombasa alafu uni PM tu chap chap mwenzako nakutokea, ila kwa taarifa yako mimi hamu sina na wala sitaki kukujua kamwe. ila we km una umuhimu na hvyo nilivyokutajia njoo ujionee wala usisubiri kuhadithiwa..upo?
 
60% of Nairobi residents are slum dwellers [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji2781][emoji3545]
Nasubiria hayo makaazi 199 yaliobakia tuje tuongeze idadi na ya kibera ifikie 2.5m[emoji1787][emoji1787]

Jamaeee, nimechinja mtu kw shoka hku, yani sai kabaki kurudiarudia maneno km verse za taarabu tu[emoji1787][emoji1787].
Kijana heri uanze kuimba taarab we mbna unaonekana ni mtunzi mzuri sana katika hyo sekta
 
Kheee!!yamekua hayo tena profesa, kisha ukitaka kunijua mie kutoka rangi, majina kamili, maisha yangu halisi, elimu pale nilipofikia, kazi ninayofanya mbona kzi rahisi tu..

We njoo mombasa alafu uni PM tu chap chap mwenzako nakutokea, ila kwa taarifa yako mimi hamu sina na wala sitaki kukujua kamwe. ila we km una umuhimu na hvyo nilivyokutajia njoo ujionee wala usisubiri kuhadithiwa..upo?
Yamekuwa hayo tena, duuh🙂
 
Nasubiria hayo makaazi 199 yaliobakia tuje tuongeze idadi na ya kibera ifikie 2.5m[emoji1787][emoji1787]

Jamaeee, nimechinja mtu kw shoka hku, yani sai kabaki kurudiarudia maneno km verse za taarabu tu[emoji1787][emoji1787].
Kijana heri uanze kuimba taarab we mbna unaonekana ni mtunzi mzuri sana katika hyo sekta
Hamu utakuwa nayo tu, yn mtoto wa kibongo nifunge safari mpk huko alafu uniambie huna hamu we vp?
 
Aafu kuna andazi upepo sijui kazi ya Amira au pump [emoji1787]maana ndani huwa imejaa hewa[emoji846]Kula msosi wa maana Kenya gharama[emoji846]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787](Pump)
 
EtPiySiXMAELymn



 
Back
Top Bottom