Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
wewe tatizo hujielewi,,,,,ipo hivi mtu yeyote anayezaliwa Tanzania awe na asili ya kichina,german,indian,arabic huyo ni mtanzania haijarishi rangi wala ukabila huyo anakuwa ni mtanzania na mtanzania yeyote yule ni mswahili.....komora096 hawa watu ni wajinga sijapata kuona. Wachana nao. Eti wanaforce wazungu na wahindi wawe waswahili ilhali wanasema kwamba hakuna Mkenya yeyote ambaye ni mswahili. Chuki yao kwa Wakenya imezidi
kama nyie kwenu ipo tofauti endeleeni na utaratibu wenu tupo tofauti tokea miaka mingi sana,,hata media zenu huko zinatangaza kilugha it means mpo na matabaka,,,,huku Tz hakuna kilugha kwenye media zozote zile,,,,hivyo tupo tofauti sana msiforce mambo.....




