Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hamtakaa muone Tanzania ikianika mambo yake ya kijeshi hadharani, vita ni mipango na si makelele ya kwenye mitandao;
Baadhi ya vita Tanzania-JWTZ ilizopigana;
1.Kagera war 1978-1979- VICTORY
2. Mozambican war 1977-1988 -VICTORY
3. Uganda bush war 1980-1986 - VICTORY
3. Invasion of Anjouan-Commoro- 2008-VICTORY
4.M23 Rebellion-2003-VICTORY
5. ADF Insurgency - ongoing
Mungiki wenyewe waliwatoa jasho aafu wajilanganishe na jina kubwa JWTZ😀😀😀😊
 
Mungiki wenyewe waliwatoa jasho aafu wajilanganishe na jina kubwa JWTZ😀😀😀😊
mungiki hapa kwetu ni sawa na panya road, Panya road wakienda kenya nairobi haitakalika, maana mungiki wenyewe walikuwa dhaifu ila sema na kdf wenyewe ni dhaifu zaidi
 
mungiki hapa kwetu ni sawa na panya road, Panya road wakienda kenya nairobi haitakalika, maana mungiki wenyewe walikuwa dhaifu ila sema na kdf wenyewe ni dhaifu zaidi
Jwtz,,ni uharo tu kwa KDF,ata kwa rankings hamuonekani🤣🤣
 
hamtakaa muone Tanzania ikianika mambo yake ya kijeshi hadharani, vita ni mipango na si makelele ya kwenye mitandao;
Baadhi ya vita Tanzania-JWTZ ilizopigana;
1.Kagera war 1978-1979- VICTORY
2. Mozambican war 1977-1988 -VICTORY
3. Uganda bush war 1980-1986 - VICTORY
3. Invasion of Anjouan-Commoro- 2008-VICTORY
4.M23 Rebellion-2003-VICTORY
5. ADF Insurgency - ongoing
Sasa mkipigana na watu wako na rungu na panga nanyi mko na bunduki, what do you expect 😁😁😁
Kwa rankings in Africa hamjulikani ata,,sa sijui mnalia nini🤣🤣
 
Jwtz,,ni uharo tu kwa KDF,ata kwa rankings hamuonekani🤣🤣
usimwamshe aliyelala, kdf iliyoshindwa vita na wanamgambo inweza kusoma lolote mbele ya wanaume wa JWTZ, unajijibia tu lakini nnafsi inakusuta kwa ukweli uliomchungu
 
usimwamshe aliyelala, kdf iliyoshindwa vita na wanamgambo inweza kusoma lolote mbele ya wanaume wa JWTZ, unajijibia tu lakini nnafsi inakusuta kwa ukweli uliomchungu
Hizo Vita nimeskia na nyinyi,,si mpigane vita mzito Kama zenye kdf hupigana🤣🤣
 
Sasa mkipigana na watu wako na rungu na panga nanyi mko na bunduki, what do you expect 😁😁😁
Kwa rankings in Africa hamjulikani ata,,sa sijui mnalia nini🤣🤣
tatizo hujielewi; Uganda ilikuwa na modern weapons kuliko Tanzania - bado tukawapa kichapo cha mbwa mwizi
Portugal katika vita ya mozambique alikuwa anapigana na rungu na panga? ni mwendawazimu tu anayeweza kuliamini hili
m23 waliokuwa wanasapotiwa na rwanda na uganda walikuwa wanapigana na rungu na panga- wewe ni zaidi ya mpumbavu
 
VITA BILA USHINDI NI SAWA NA KUPOTEZA MUDA, NAKUMBUKA KENYA ILIOGOPA MTITI WA UPDF IKASALIMU AMRI UGANDA ICHUKUE KISIWA CHA MIGINGOHAHAHA
KDF wacha tu
Number 12 in Africa 👏👏👏
Screenshot_20210128-105829.png
 
Hizo Vita nimeskia na nyinyi,,si mpigane vita mzito Kama zenye kdf hupigana🤣🤣
vita nzito kdf iliyowahi kupigana ni ipi? na alshabab? Uganda waliwachukulia kisiwa cha migingo mkaogopa mkawaachia hahaha, hiyo vita mnayogina ni ipi kama mnashindwa hata kulinda ardhi yenu?
 
Labda nikuweke Sawa kuhusu hili swala jirani
Tuone Kati yetu na nyie Ni yupi akili Zake hamnazo
Ni sifa zipi za lugha ya Taifa kama kweli mnaongea Kiswahili

1.ni sharti iwe inakubalika na kuzungumzwa na wote , wasomi na wasio wasomi
2.lazima iwe sanifu isiwe imechakachuliwa
3.ni kiwakilishi cha Taifa nje na Ndani ya nchi,
3.kinapendwa kuzungumzwa na wananchi wake,na hujiskia ufahari kinapo tumika kama chombo cha mawasiliano
4.lugha hiyo iwe ndo inayotumika na watumishi wote wa ngazi za juu za serikali,taasisi muhimu,kwenye mikutano, nje na ndani ya nchi na raia wake
Tatizo hii umeitoa chato
Swali ni je, mbna wakenya wanaongea kiswahili wasiwe waswahili, manake ni wengi sana lkn wahindi na wazungu mnaforce waitwe waswahili ili muhalalishe kutawaliwa kwenu kwa kusingizia ujamaa
 
Unajua Congo wanaongea kiswahili miaka mingi sana na hiyo pwani hawajawahi kuiona?

Nakumbuka form 3 kulikua na topic kwenye kiswahili likiuliza kiswahili ni kicongo au kibantu?

80% ya kiswahili ni kibantu
We kumbe zuka sana, hata hsitoria kumbe huijui..
Rudi darasani ukasome historia kwanza, kumbe nabishana na mamburula hivi jamani
 
vita nzito kdf iliyowahi kupigana ni ipi? na alshabab? Uganda waliwachukulia kisiwa cha migingo mkaogopa mkawaachia hahaha, hiyo vita mnayogina ni ipi kama mnashindwa hata kulinda ardhi yenu?
Migingo bado iko Kenya,tena huwa hatuoigani Vita za upuzi Kama nyinyi,,mnapiga watu wa panga na rungu alafu mnajianika eti victory 🤣🤣
 
Tatizo hii umeitoa chato
Swali ni je, mbna wakenya wanaongea kiswahili wasiwe waswahili, manake ni wengi sana lkn wahindi na wazungu mnaforce waitwe waswahili ili muhalalishe kutawaliwa kwenu kwa kusingizia ujamaa
Tatizo wakenya ukabila umewazidi, acheni kuchafua kiswahili chetu, labda kikenya hicho
 
kulinda amani kwa niaba ya UN hata Burundi wanapeleka wanajeshi, vita nyingine ulizoonyesha hapa ni zile vita za kikabila za wizi wa mifugo hahaha hamna hata vita moja yenye akili uliyoonyesha,
Na bas inekuwaje kwa rankings hamko 🤣🤣🤣😳
 
Back
Top Bottom