Labda nikuweke Sawa kuhusu hili swala jirani
Tuone Kati yetu na nyie Ni yupi akili Zake hamnazo

Ni sifa zipi za lugha ya Taifa kama kweli mnaongea Kiswahili
1.ni sharti iwe inakubalika na kuzungumzwa na wote , wasomi na wasio wasomi

2.lazima iwe sanifu isiwe imechakachuliwa

3.ni kiwakilishi cha Taifa nje na Ndani ya nchi,
3.kinapendwa kuzungumzwa na wananchi wake,na hujiskia ufahari kinapo tumika kama chombo cha mawasiliano

4.lugha hiyo iwe ndo inayotumika na watumishi wote wa ngazi za juu za serikali,taasisi muhimu,kwenye mikutano, nje na ndani ya nchi na raia wake