Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mambo mengi sana tumewazidi kuanzia baharini mpk nchi kavu, kitu kilichobaki ni kimoja tu ambacho kinawapa nguvu nacho ni GDP ushuzi inayonuka madeni basi, tukibadilisha hyo hamtakuwa na cha kuongea, tupo mbali mno kwa ss.
na hiyo GDP fake is just a matter of time, sasa kama taifa agenda yetu kuu ni uchumi tu, mengine ni ya ziada,tunataka tuelekee uchumi wa kati wa juu kwa kishindo.
 
Screenshot_20210128-140206~2.png
Screenshot_20210128-140308~2.png
Screenshot_20210128-140244~2.png
nyie mliosoma kiswahili Kenya heb waambieni wakurudishieni ada zenu,hiv mainstream media iandike "upanzi wa miti " badala ya "upandaji wa miti" mmejifunza hata MNYUMBULIKO WA MANENO.? alaf eti mjue kiswahili duh 😂😂😂
 
Kuna mambo mengi sana tumewazidi kuanzia baharini mpk nchi kavu, kitu kilichobaki ni kimoja tu ambacho kinawapa nguvu nacho ni GDP ushuzi inayonuka madeni basi, tukibadilisha hyo hamtakuwa na cha kuongea, tupo mbali mno kwa ss.
Dhibitisha hapa weka economic output hapa kwa sasa nione! Anza na annual revenue ya serikali tukufu ya muungano wa Tanzania. income ya Ports? Airports?, retail? Exports?(Anza na balance of trade between Kenya na Tz) before uweke total income, manufacturing, telecommunications, banking sector etc. Wakati wa porojo na propaganda uliisha, na pia usiseme WB wanawaoneaga., Mwaga facts haraka upesi..,
 
Kama baadhi yenu mnashindwa kutamka maneno ya kiswahili vizuri basi mbona mnajidai kwamba nyinyi ndio mnajua kiswahili kushinda wengine? Mjifunze kutamka maneno vizuri kwanza ndio mjidai
Tunawafundisha kiswahili humu na bado mnaleta zarau, wewe mwenyewe ulikuja humu ukiwa hujui kabisa kiswahili lkn nowadays unajitahidi lkn bado husemi asante.
 
na hiyo GDP fake is just a matter of time, sasa kama taifa agenda yetu kuu ni uchumi tu, mengine ni ya ziada,tunataka tuelekee uchumi wa kati wa juu kwa kishindo.
Nyinyi mumeingia uchumi wa kati wa chini juzi hata hamjamaliza mwaka moja na mumeanza kuturingia ilhali sisi tumekuwa uchumi wa kati kwa miaka saba sasa na wala haturingi kama nyinyi.
 
Kama baadhi yenu mnashindwa kutamka maneno ya kiswahili vizuri basi mbona mnajidai kwamba nyinyi ndio mnajua kiswahili kushinda wengine? Mjifunze kutamka maneno vizuri kwanza ndio mjidai
We kweli huna idea na unacho kizungumzia mara ya mwisho Bunge lenyu limezungumza Kiswahili lini tuanzie hapo?
 
Ukiongelea Kenya unaongelea Nairobi ila Tz maendeleo yametawanyika hata nyie mlio humu mmeona.
Tanzania ni Dar es Salaam, outside mnalazolimisha tu kwa vile hampendi aibu, though Kuna maendeleo Tz sipingi ila bado hamjafika level ya Kenya licha ya mapungufu yetu, na ujue nchi nyingi za Africa zinaendelea kwa speed kama wewe no msafiri utakubaliana nami lakini ila tu are not quite publicized. Nyie propaganda inawafumba macho., just because mumejaza mtandao na taarifa za Tz haimanishi Kenya maendeleo hayapo. County govt system ilituletea ukombozi kwa kiwango flani.,
 
Nyinyi mumeingia uchumi wa kati wa chini juzi hata hamjamaliza mwaka moja na mumeanza kuturingia ilhali sisi tumekuwa uchumi wa kati kwa miaka saba sasa na wala haturingi kama nyinyi.
tuna mipango na potential nyingi ambavyo hamna na hii siyo kuwaringia bali ndio ukweli mchungu
 
Kama baadhi yenu mnashindwa kutamka maneno ya kiswahili vizuri basi mbona mnajidai kwamba nyinyi ndio mnajua kiswahili kushinda wengine? Mjifunze kutamka maneno vizuri kwanza ndio mjidai
Lugha ni grammar na vocabulary, sio pronunciation. Wakenya hamjui Kiswahili kabisa, huwa ninashangaa haya maneno ya wakenya
1)Ndiposa
2)Venye
3)Yenyu

Haya maneno sio Kiswahili, wakenya msichanganye na Kikuyu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania ni Dar es Salaam, outside mnalazolimisha tu kwa vile hampendi aibu, though Kuna maendeleo Tz sipingi ila bado hamjafika level ya Kenya licha ya mapungufu yetu, na ujue nchi nyingi za Africa zinaendelea kwa speed kama wewe no msafiri utakubaliana nami lakini ila tu are not quite publicized. Nyie propaganda inawafumba macho., just because mumejaza mtandao na taarifa za Tz haimanishi Kenya maendeleo hayapo. County govt system ilituletea ukombozi kwa kiwango flani.,
Huwa nashangaa sana mnalinganisha Ka-Nairobi na Li-Dar es salaam city. Ndio maana wenzenu wakifika huku Tz huwa hawapendi kurudi huko Kenya.
 
Kuna mkunya mwenzenu anadai Kikwete alikua anajenga nchi zaidi ya Magufuli

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kusema ukweli Kikwete uchumi wake ulikuwa unapaa juu unafikia 6% na 7% ila hakuna maendeleo kwenye ground. Nadhani ni kwa vile alikuwa marafiki na mabeberu. Kwa hivyo Imf na WB walikuwa wanakubaliana na data yoyote inayotolewa na serikali yake. Magufuli naye akitoa data 7% Imf wanapunguza hadi 4% maana hawampendi lakini kuna maendeleo ya kufa mtu kwenye ground.
 
Tanzania ni Dar es Salaam, outside mnalazolimisha tu kwa vile hampendi aibu, though Kuna maendeleo Tz sipingi ila bado hamjafika level ya Kenya licha ya mapungufu yetu, na ujue nchi nyingi za Africa zinaendelea kwa speed kama wewe no msafiri utakubaliana nami lakini ila tu are not quite publicized. Nyie propaganda inawafumba macho., just because mumejaza mtandao na taarifa za Tz haimanishi Kenya maendeleo hayapo. County govt system ilituletea ukombozi kwa kiwango flani.,
And yet
Pic_1611833076843.jpg
 
Kusema ukweli Kikwete uchumi wake ulikuwa unapaa juu unafikia 6% na 7% ila hakuna maendeleo kwenye ground. Nadhani ni kwa vile alikuwa marafiki na mabeberu. Kwa hivyo Imf na WB walikuwa wanakubaliana na data yoyote inayotolewa na serikali yake. Magufuli naye akitoa data 7% Imf wanapunguza hadi 4% maana hawampendi lakini kuna maendeleo ya kufa mtu kwenye ground.
Tony huwa ni mkweli cku zote japo genes za ukunya huwa zinamuharibia
 
Back
Top Bottom