Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa vita lazima watu wafe,najua huwezi elewa haya kwasababu jeshi lenu kazi ni kulala tu,,KDF kila wakati iko kwa Vita,hiyo yenu kazi gani inafanya na unataka mshindane na sisi
Tutajie vita moja ambayo mmewahi kushinda mana km vita kila jeshi ni kawaida kwenda vitani kusaidia, but tunataka vita ambayo kdf km kdf imewahi kupigana na kushinda ila ukishindwa niulize mm TPDF imewahi kushinda vita gn.
 
Hapo sawa,so Nairobi na hio GDP yote ata haionekani top 10,kweli Kenya Tajiri👏👏👏👏👏👏👏😍😍
😆😆😆😆😆 nenda upike tena data alaf post hapa tena... tajiri wa njaa au????
050E4E90-9D0C-4874-9337-AAABE94DF63A.jpeg
 
Na inekuwaje hamjulikani kwa hizo Vita zenu🤣🤣vitu tu za mdomo,,NKT
Hii report Ni ya 2020/2021,,hio history wekeni kwa vitabu🤣🤣🤣
hamtakaa muone Tanzania ikianika mambo yake ya kijeshi hadharani, vita ni mipango na si makelele ya kwenye mitandao;
Baadhi ya vita Tanzania-JWTZ ilizopigana;
1.Kagera war 1978-1979- VICTORY
2. Mozambican war 1977-1988 -VICTORY
3. Uganda bush war 1980-1986 - VICTORY
3. Invasion of Anjouan-Commoro- 2008-VICTORY
4.M23 Rebellion-2003-VICTORY
5. ADF Insurgency - ongoing
 
Tutajie vita moja ambayo mmewahi kushinda mana km vita kila jeshi ni kawaida kwenda vitani kusaidia, but tunataka vita ambayo kdf km kdf imewahi kupigana na kushinda ila ukishindwa niulize mm TPDF imewahi kushinda vita gn.
Alshabab anawaskia hapa Nairobi wewe😁
 
🤣🤣🤣Kwa vita lazima watu wafe,najua huwezi elewa haya kwasababu jeshi lenu kazi ni kulala tu,,KDF kila wakati iko kwa Vita,hiyo yenu kazi gani inafanya na unataka mshindane na sisi🤣🤣
VITA BILA USHINDI NI SAWA NA KUPOTEZA MUDA, NAKUMBUKA KENYA ILIOGOPA MTITI WA UPDF IKASALIMU AMRI UGANDA ICHUKUE KISIWA CHA MIGINGOHAHAHA
 
Back
Top Bottom