Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

komora096 hawa watu ni wajinga sijapata kuona. Wachana nao. Eti wanaforce wazungu na wahindi wawe waswahili ilhali wanasema kwamba hakuna Mkenya yeyote ambaye ni mswahili. Chuki yao kwa Wakenya imezidi
Yani nawafinyilia vibaya sanajamaa mpka wanaita wahindi waswahili bana..
Hao wanaopinga utakuta wengi ni wasokuma
 
Migingo bado iko Kenya,tena huwa hatuoigani Vita za upuzi Kama nyinyi,,mnapiga watu wa panga na rungu alafu mnajianika eti victory 🤣🤣
hujielewi wewe, kama uganda wanavua samaki kenya mtabaki na nini?
 
Jwtz,,ni uharo tu kwa KDF,ata kwa rankings hamuonekani🤣🤣
Hizo zarau zenu ndo zinafanya alshabaab A.k.A vidume wakiwapiga wanawapiga kweli🙂👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20210128-110917_DuckDuckGo.jpg
    Screenshot_20210128-110917_DuckDuckGo.jpg
    144.4 KB · Views: 7
umegeuka ghafla sio? 100% of that 97% wanaongea kiswahili kibovu! na ulisema Waswahili ni kabila!
Umeona sasa vile unaujinga, kenya mkoa wote wa pwani jamaa wanapiga kiswahili safi hta kuliko mikoa mingi tanzania..

Watz wangapi huku huaga wanarekebishwa wanapoleta ujuaji hadi mtu anaamua kuufyata..
Manake utakuta jamaa kaja na mbwembwe mwisho anatulizwa hadi nacheka sana..
 
Tatizo hii umeitoa chato
Swali ni je, mbna wakenya wanaongea kiswahili wasiwe waswahili, manake ni wengi sana lkn wahindi na wazungu mnaforce waitwe waswahili ili muhalalishe kutawaliwa kwenu kwa kusingizia ujamaa
Nyie mnaongea Kiswahili cha kuomba maji 🙂mmezembea Sana ni aibu Congo,na burundi wanawazidi nyie kwa lugha🙂
 
Nyie mnaongea Kiswahili cha kuomba maji mmezembea Sana ni aibu Congo,na burundi wanawazidi nyie kwa lugha
Hii umeandika kw mihemko sana, yaonhesha imepenya sana..
Kumchukia aliyekyzidi yataka moyo, hasa kw karibia kila kitu
 
Umeona sasa vile unaujinga, kenya mkoa wote wa pwani jamaa wanapiga kiswahili safi hta kuliko mikoa mingi tanzania..

Watz wangapi huku huaga wanarekebishwa wanapoleta ujuaji hadi mtu anaamua kuufyata..
Manake utakuta jamaa kaja na mbwembwe mwisho anatulizwa hadi nacheka sana..
Jamaa unatudanganya nimekaa Mombasa wanaongea Kiswahili cha kawaida Sana mikindani nimefika mpaka old town labda lamu wanaongea Kiswahili kizuri 🙂
 
Tatizo wakenya ukabila umewazidi, acheni kuchafua kiswahili chetu, labda kikenya hicho
Hahahah!!nyerenyere kawalemaza ubongo kabisayani kuita mzungu na wahindi waswahili ndio sio ukabila ..

Alafu naskia hko tz channel za kizungu huru lkn za kichaga kosa la jinai
Hivi ni kweli
 
Weiye Una hoja za ajabu Sana ukipigwa ukweli unataka huruma sasa usaidiwe VP?
Naona unafiki unakumaliza ubongo wako huku chuki ziki kukondesha moyo..
Utaichukiaje nchi ambayo imewazidi karbia kw kila kitu, yani mpka upo radhi kujitoa ufahamu
 
TRANSFORMATION OF ZANZIBAR PORTS

New malindi tourist sea port
Screenshot_20210128-105804.png

Screenshot_20210128-105938.png


New mangapwani industrial and economic business zone sea port
Screenshot_20210128-110103.png

project expected to start this year after 3 to 6 months of completion of the feasibility study.

Also in the coming 2 weeks, another Turkish investor is expected to sign the MoU for building a Fishing port, Fish processing facilities and a Maritime institute at the Mpiga duri area in Zanzibar.
 
Jamaa unatudanganya nimekaa Mombasa wanaongea Kiswahili cha kawaida Sana mikindani nimefika mpaka old town labda lamu wanaongea Kiswahili kizuri
Kiswahili cha kawaid ni kipi
Sasa mimi na wewe nani anaijua pwani ya kenya vizuri, umeona sasa km wewe ndio unataka kuwalaghai wenzako..

Yani mtz yupo radhi kuzusha vitu, tena mnapenda sana kudanganya kw dhana hyo ya "nilkua", "nilikaa" n.k

Yani nawajua tabia zenu za kujitia ujuaji mwingi
 
Back
Top Bottom