komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Yani nawafinyilia vibaya sanakomora096 hawa watu ni wajinga sijapata kuona. Wachana nao. Eti wanaforce wazungu na wahindi wawe waswahili ilhali wanasema kwamba hakuna Mkenya yeyote ambaye ni mswahili. Chuki yao kwa Wakenya imezidi

jamaa mpka wanaita wahindi waswahili bana..Hao wanaopinga utakuta wengi ni wasokuma
mmezembea Sana ni aibu Congo,na burundi wanawazidi nyie kwa lugha