Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niliipenda hii mshua
JamiiForums-904957976.jpg
 
Tatizo lako ni ufinyu wa uelewa, uchumi wa Tanzania umegawanyika nchi nzima. Kenya serikali imewekeza kila kitu nairobi na kuacha sehemu nyingine za kenya wakiwa. na sababu ya uwekezaji mkubwa nairobi ni kwa matakwa ya mabwana zenu wenye uchumi wa kenya. Mfano mnajisifu kujenga nairobi expressway huku kuna nyangau wenzako hawana hata maji ya kunywa? only in kenya
Usimjibu huyo Kilaza
Chanzo cha habari Mkenya wa Kibera FB
Yaani Mkenya Aanzishe Ki Page FB
Huyo Mburula Kaleta Huku kaona Hoja kumbe Uharo tu
 
Huyu anapatikana wapi?
2676989_JamiiForums-109548144.jpg
Ni kumbukumbu tu, Rick ross, Inos B wizkid T.I Davido, 50 cent n.k wote waliwahi kuja tz na sio raia wa tz lakini moja ya mambo waliyo yaona tz yakawaacha midomo wazi kana kwamba kwao hayapo ni Bebez wa tz Jamani tz kuna wadada wazuri yerewiiiiii Ukitaka kuona kazi pita mlimani city siku kuna ki party kama Saa 8,9 usiku unaeza muita israel akubebe tu.
 
Mtoto akilillia wembe mpe

 
COMESA (19) countries include: Burundi, Comoros, Congo, Dem Rep., Djibouti, Egypt, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Libya, Madagascar, Malawi, Mauritius, Rwanda, Seychelles, Sudan, Swaziland, Uganda, Zambia, and Zimbabwe

Wakenya mna nuksi gani jamani!?
Screenshot_20210128-085041.png
 
Back
Top Bottom