Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
yaani km chache tu unakuwa out of nairobi chakushangaza jamaa anakuambia eti ni shambani huko....Jigger county!
18km from nairobi cbd,,,,wanalima nyasi aisee




yaani km chache tu unakuwa out of nairobi chakushangaza jamaa anakuambia eti ni shambani huko....Jigger county!




cbd iwe kati au iwe juu hiyo si point bali ni point less ,,,,kwa kuwa ipo kando ya bahari kwani aliyekuambia dar inaanzia kando ya bahari ni nani....Cbd dar ipo karibu na bahari, cbd nairobi ipo katikati hvyo ni vitu viwili tofauti..
Nairobi imejengeka pande zote dar yani 360






18km upo out of nairobi seriously.....Haki si kikuyu inaliza mtu![]()



We huoni kama Hilo ni tatizo?mbona etegemee Nairobi wakati Nairobi ina sua sua? Kwa over population?mbona kikuyu isewe empowered ijitegemee kiviake? Issue kama hizi huwez ukapata bongo kila mkoa uko empowered kweli Tanzania ina ngaa kila Kona nakupenda milele🙂kijani,manjano,nyeusi na blue🇹🇿🇹🇿Hapo ndio hamuelewi na pengine hamutaelewa. Nairobi outgrew its physical boundaries long time ago. Hapo Kikuyu kuna maelfu ya watu wanacommute daily kuja kufanya kazi Nairobi na kurudi nyumbani jioni. These people wanategemea Nairobi kwa kila kitu chao. Sasa tunaposema kwamba it's part of the metropolitan ni nini hamuelewi hapo? If it wasn't for Nairobi, Kikuyu haingekuwa na baadhi ya maendeleo iko nayo saa hii (barabara, apartment buildings, water supply etc).
Administratively, Kikuyu is in Kiambu county but economically inategemea Nairobi pakubwa sana, and that's the same story with other far-flung areas like Ngong, Isinya, Kitengela, juja, Syokimau and many others. Hizi sehemu forms part of the metropolis coz thousands of people live in these areas but work in Nairobi. Aren't they contributing to the economic development of Nairobi? Jibu unalo.
Niko na marafiki wanaishi hizo sehemu nimetaja hapo juu but ukimuuliza anaishi wapi atakuambia Nairobi
ile sehemu ,,tumeamua kuwa hivyo ni reserve na haoapaswi kuendelea kujengwa mpaka serikali iruhusu......Unakataa kitu kila mtu aliona hapa ndani?wewe ni kichaa
Evidence.Mtz aliyesomea kenya hko anapewa kipaumbele
We ukitaka pinga mpka ukajambe
Huku kwetu kinachoangaliwa scores zako haijalishi umesoma UDSM, UDOM, SUA, RUCO au whatever.Mtz aliyesomea kenya hko anapewa kipaumbele
We ukitaka pinga mpka ukajambe
M.sen.ge uyo achana naye.Kitu gani cha 'O' levels hapo.
Kwani hata kama ni sehemu ya kimkakati kwani sio pori? Mbona eneo hilo ni pori km 35 kutoka kwenye ocean. Unaposema eneo hilo sio kijiji unamaanisha kwamba eneo hilo ni jiji? Jiji gani ambalo halina majengo?kile siyo kijiji ni sehemu ya kimkakati reaerve area mzee.......kichwa ngumu,,,
dar siyo nairobi kila kona vichaka pori
Kuna wakunya wenzako huwa wanabisha kwmb hii c overpass bali ni bridge, wakenya bhnKenya ina overpass nyingi sana. Zingine tunashtukiza zimejengwa bila sisi kujua. Hii ni overpass ya ICD access road.View attachment 1680341View attachment 1680342




Wakenya Wagani haoKuna wakunya wenzako huwa wanabisha kwmb hii c overpass bali ni bridge, wakenya bhn![]()
Akikujibu nitag.Huwa mnafundishwa kutafuta volume of revolution huko kwenu au hayo mambo mnajifunzia chuo kikuu?
Pole pole soon hii game wataelewa🙂
Duh!!ya lini hii nayoKenya ina overpass nyingi sana. Zingine tunashtukiza zimejengwa bila sisi kujua. Hii ni overpass ya ICD access road.View attachment 1680341View attachment 1680342
We waonajeKwahio leo unakana hio habari![]()