Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Throwback
455E9046-88BA-44B8-A0EC-19C9509CB6C2.jpeg
 
Cbd dar ipo karibu na bahari, cbd nairobi ipo katikati hvyo ni vitu viwili tofauti..
Nairobi imejengeka pande zote dar yani 360
cbd iwe kati au iwe juu hiyo si point bali ni point less ,,,,kwa kuwa ipo kando ya bahari kwani aliyekuambia dar inaanzia kando ya bahari ni nani....

CBD ni jina tu kama ukitaja mathare ila mwisho wa siku ipo nairobi,,,,,,hata dar cbd ipo katikati pia upande wa ng'ambo ya bahari kuna miji imeendelea kule ...

wacha pang'a ng'a
 
Hapo ndio hamuelewi na pengine hamutaelewa. Nairobi outgrew its physical boundaries long time ago. Hapo Kikuyu kuna maelfu ya watu wanacommute daily kuja kufanya kazi Nairobi na kurudi nyumbani jioni. These people wanategemea Nairobi kwa kila kitu chao. Sasa tunaposema kwamba it's part of the metropolitan ni nini hamuelewi hapo? If it wasn't for Nairobi, Kikuyu haingekuwa na baadhi ya maendeleo iko nayo saa hii (barabara, apartment buildings, water supply etc).

Administratively, Kikuyu is in Kiambu county but economically inategemea Nairobi pakubwa sana, and that's the same story with other far-flung areas like Ngong, Isinya, Kitengela, juja, Syokimau and many others. Hizi sehemu forms part of the metropolis coz thousands of people live in these areas but work in Nairobi. Aren't they contributing to the economic development of Nairobi? Jibu unalo.

Niko na marafiki wanaishi hizo sehemu nimetaja hapo juu but ukimuuliza anaishi wapi atakuambia Nairobi
We huoni kama Hilo ni tatizo?mbona etegemee Nairobi wakati Nairobi ina sua sua? Kwa over population?mbona kikuyu isewe empowered ijitegemee kiviake? Issue kama hizi huwez ukapata bongo kila mkoa uko empowered kweli Tanzania ina ngaa kila Kona nakupenda milele🙂kijani,manjano,nyeusi na blue🇹🇿🇹🇿
 
Unakataa kitu kila mtu aliona hapa ndani? wewe ni kichaa
ile sehemu ,,tumeamua kuwa hivyo ni reserve na haoapaswi kuendelea kujengwa mpaka serikali iruhusu......
hilo eneo lisikutishe ni kasehemu kadogo hiyo sehemu ni kubwa sana tofauti na unavyojidanganya
 
kile siyo kijiji ni sehemu ya kimkakati reaerve area mzee.......kichwa ngumu,,,

dar siyo nairobi kila kona vichaka pori
Kwani hata kama ni sehemu ya kimkakati kwani sio pori? Mbona eneo hilo ni pori km 35 kutoka kwenye ocean. Unaposema eneo hilo sio kijiji unamaanisha kwamba eneo hilo ni jiji? Jiji gani ambalo halina majengo?
 
Back
Top Bottom