Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Kitu gani cha 'O' levels hapo.Vitu vya o level hku hvyo, umeona sasa tofauti yetu
Kitu gani cha 'O' levels hapo.Vitu vya o level hku hvyo, umeona sasa tofauti yetu
Hatujahamisha makao makuu, au mlikua na sisi mnataka tujenge ofisi kw mara ya pili...Mbona unaanza kutafuta pa kutokea?
Nairobi wajanja mbona wengi tu, kila kitu huwezi kosa feki..Kcse ina maajabu gani? Ndio hiyo inayotoa vyeti kwa waangusha majengo hapo nairobbery?
Nina uhakika karibia kampuni zote tz zimeajiri watu wengi sana waliosomea kenyaHahahaha kama toilet paper


Ramani ya mwaka gani hii?Acha kupenda kubisha kila kitu.....the road ipo kiambu county. 'Nairobi western bypass ' ni jina tu
View attachment 1680223
Utetezi gani na huo ndio ukweli, ndio manake serekali yetu hata haina hamu nao..Naona huo ndio utetezi wako!



Kwn wewe ukileta gani, hapo lazima ujue form4 ya kenya ni sawa na mtu anayetoka A level kwenda chuoKitu gani cha 'O' levels hapo.
Mlete mwanao apate elimu bora..Sijawahi kukanyaga kenya.
umekuwa kipofu sasaUnaleta picha za Kikuyu just to help lick your wounds. Kikuyu is not even in Nairobi. Secondly, hizo sehemu umeleta hapa are all built up areas. Sijaona kichaka hapo kama ile yenu









ThubutuuNina uhakika karibia kampuni zote tz zimeajiri watu wengi sana waliosomea kenya
Ukweli haubadiliki
sasa kama 20km tu unakuwa out of nairobi,,,,,Kikuyu kwn siku hizi ipo nairobi eakenya wenzangu
Kuna jamaa huku hajui hta kutumia internet yeye bora achokore apate picha anatupia









Kwn wewe ukileta gani, hapo lazima ujue form4 ya kenya ni sawa na mtu anayetoka A level kwenda chuo
Nimegee siri umesomea nn broMi ningelikua n mtz na makaratasi yangu ya ke sai ningelikua mtu mkubwa sana katika jamii
Kwani makao makuu ya tanzania yako wapi hebu nijibu 🤣🤣🤣 mbona hushangai bunge lipo dodoma na wizara zote zipo dodomaTuonyeshe la dar
Sisi hatujahamisha makao popote pale
Mshangae mwenzako kwanza 🤣🤣🤣Kwn thika highway haifiki nairobi
Ukiwa humu unatetea hiyo unemployment rate ila ukiwa nje ya jamiiforums hiyo unemployment rate inakuumiza sana na huo ndio tunaita uzalendo maandazi.Utetezi gani na huo ndio ukweli, ndio manake serekali yetu hata haina hamu nao..
Waache wapate riziki bana, hyo hyo media hapo inataka kenya iendelee zaidi km europe
Yani huaga wao bora waandike wapate wachangiaji tu wala hmna lingine, hyo ndio maana ya uhuru wa habari..
Kwahio leo unakana hio habari 🤣🤣🤣Vyombo vya habari bana
Na hapo siku ingine wataandika kenya iwe km marekani wakati wanasahau km life kwetu ni cheaper kuliko kule..
Najua lazima watajisahau siku hyo