Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Cbd dar ipo karibu na bahari, cbd nairobi ipo katikati hvyo ni vitu viwili tofauti..
Nairobi imejengeka pande zote dar yani 360
Nairobi imejengeka 360 ndio mlivofundishwa huko mashuleni au 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nairobi imejengeka 360 ndio mlivofundishwa huko mashuleni au 🤣🤣🤣🤣🤣
Unacheka nini? Nyinyi hamuwezi kujenga kwenye bahari wakati sisi tunajenga kote kote 360° nyinyi mnabakia kujenga 180°.
 
Uongo mtupu. Nyie wasichana wenu hawana pedi mtoe wapi pesa ya kuleta pedi kwa nchi yenye Gdp ya $100 billion?
Bro nlikua nafanya na mashirika haya concern worldwide, pathfinder,tika Africa, compassion international kutemebelea slums za Kenya especially Nairobi ndo ilikua first goal maana umaskin umekidhiri Sana 🙂
 
Uongo mtupu. Nyie wasichana wenu hawana pedi mtoe wapi pesa ya kuleta pedi kwa nchi yenye Gdp ya $100 billion?
Huku debt to GDP ratio iko 86% alaf bado unashangilia mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣
36E3B860-CFEC-4AC4-9038-9A61FD5E2A7A.jpeg
 
Unacheka nini? Nyinyi hamuwezi kujenga kwenye bahari wakati sisi tunajenga kote kote 360° nyinyi mnabakia kujenga 180°.
Aliekudanganya dar imejengwa 180 nani na aliekudanganya nairobi imejengwa 360 nani au maana halisi ya 360 huijui???🤣🤣🤣 tony unaniabisha plz
 
Jamaa wanaelekea kuwa wake za wachina aafu wanashangilia Sana🙂kwa kweli huu ni msiba
Hawana pesa hata ya kujenga km 1 ya reli alaf mtu anakwambia mambo ya GDP🤣🤣 rais anafunga safari kwenda ufaransa kukopa km 5 ya reli

wakat wanakwambia unemployment rate kenya ni kubwa mara tatu ya tanzania
 
Kwani madeni yakiongezeka utakosa chakula nyumbani? Inakuhusu nini ikiwa madeni yataongezeka? Madeni ni yetu lakini wewe ndio unalia na kutoa machozi. Malazy mnashangaza.
Hasira za nini bro japo tunajua madeni hutafuna sana kichwa
 
Kikuyu nimekaa eneo moja inaitwa kid farm co na gitaru ambayao sio mbali na kikuyu town kikukweli kikuyu ni kusafi, security nzuri Ila ni Ka mini town tatizo Kenya kila eneo mnaita town sema ipo kiambu county adminstration yake inafanyiwa huko huko issue ya kusema ni Nairobi metropolitan hapo ndo huwa mna fail🙂 Nairobi ni Nairobi kiambu ni kiambu mbona Nairobi ina govonor wake na kiambu ina govonor wake kama kweli kitu kimoja?
Hapo ndio hamuelewi na pengine hamutaelewa. Nairobi outgrew its physical boundaries long time ago. Hapo Kikuyu kuna maelfu ya watu wanacommute daily kuja kufanya kazi Nairobi na kurudi nyumbani jioni. These people wanategemea Nairobi kwa kila kitu chao. Sasa tunaposema kwamba it's part of the metropolitan ni nini hamuelewi hapo? If it wasn't for Nairobi, Kikuyu haingekuwa na baadhi ya maendeleo iko nayo saa hii (barabara, apartment buildings, water supply etc).

Administratively, Kikuyu is in Kiambu county but economically inategemea Nairobi pakubwa sana, and that's the same story with other far-flung areas like Ngong, Isinya, Kitengela, juja, Syokimau and many others. Hizi sehemu forms part of the metropolis coz thousands of people live in these areas but work in Nairobi. Aren't they contributing to the economic development of Nairobi? Jibu unalo.

Niko na marafiki wanaishi hizo sehemu nimetaja hapo juu but ukimuuliza anaishi wapi atakuambia Nairobi
 
Iweje unasahau lile kijiji 35 kms from Dar cbd? And within Dar boundaries?
kile siyo kijiji ni sehemu ya kimkakati reaerve area mzee.......kichwa ngumu,,,

dar siyo nairobi kila kona vichaka pori
 
Hawana pesa hata ya kujenga km 1 ya reli alaf mtu anakwambia mambo ya GDP🤣🤣 rais anafunga safari kwenda ufaransa kukopa km 5 ya reli

wakat wanakwambia unemployment rate kenya ni kubwa mara tatu ya tanzania
Aisee inasikitisha Sana,ukitembea mitaa ya Nairobi utalia kwa uchungu majirani Wana suffer Sana mkuu,vijana wengi ambao wamesoma wanajiusisha na miradi ya kuosha magari,uzoaji wa taka kwene slums na mitaa yao,aafu wengine wanaenda kulala kwenye mabustani Yao kama Uhuru park,city park na jivanjee garden kama nasema uongo majirani zetu waseme🙂
 
unalazimisha iwe kijiji wakati tunajua 18km away from nairobi kuna watu wanalima maharage


ni hapa mkuu

halafu chek chin machakos yaani ni km chache kutoka nairobi almost 60km....ila check kulivyo chakaa ,maji shida nyumba za udongo za kuyisha ...
20210118_153803.jpg
images (5).jpg
images (7).jpg
 

Attachments

  • images%20(5).jpg
    images%20(5).jpg
    65.5 KB · Views: 7
Back
Top Bottom