Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Hahahhaa hii ndio kituko cha kwanza mm kushuhudia dunia hii🤣🤣👇👇 Tony254 jubilee ndio imewafkisha hapa
Inakaa Uhuru crooks wamesafisha account ya kebs!
Hahahhaa hii ndio kituko cha kwanza mm kushuhudia dunia hii🤣🤣👇👇 Tony254 jubilee ndio imewafkisha hapa
Hahaha!!mbna unatapatapa jomba, huu mchezo hauhitaji hasira..Huwa mnafundishwa kutafuta volume of revolution huko kwenu au hayo mambo mnajifunzia chuo kikuu?
Kuna mapicha kibao humu ya jinsi ilivyoharibika!Inabomoka wapi? Labda uliota hivyo ndotoni mwako.
Hyo miundombinu iko wapi mzee babaKweli kwenye mambo ya uongozi mlikua nyuma huku local governments zimekua zikijenga barabara na miundombinu chungu mbovu miaka na mikaka kwa kupitia makusanyo ya halmashauri
Nilikuambia mnachokiita ugatuzi mlikuja kujifunzia Tanzania, huku tunaita local government na zipo kwa ngazi za mikoa (regional government) na halmashauri (local government)
Jigger county!unafanya selection za area
huku unamwachia nani yaani 18km mambo ndiyo yako hivi,,kuweni serious msipende kujichosha for nothing
18km from Nairobi cbd
hii kaliView attachment 1680405View attachment 1680406View attachment 1680407View attachment 1680408View attachment 1680409View attachment 1680410View attachment 1680411
Mchina mbona asitafutweProgress ya Nairobi Expressway. Mashine zinatumika kuinua beams.
View attachment 1680379View attachment 1680383View attachment 1680386View attachment 1680388



Cbd dar ipo karibu na bahari, cbd nairobi ipo katikati hvyo ni vitu viwili tofauti..point inabaki pale pale tu,,,,yaani ukitoka town 20km upo chaka nnje ya nairobi ...
hiyo nairobi ni dig dig sana![]()
tena siyo 20km ni 18km from CBD
Hivi ni vituko vya hali ya juu,,hako ni katown siyo jijiView attachment 1680394
Tuonyesheni mawaziri wa halmashauriMlikuja kujifunza Tanzania, na juzi tena mkaja kujifunza zaidi miradi inayosimamiwa na local government
Haki si kikuyu inaliza mtuunafanya selection za area
huku unamwachia nani yaani 18km mambo ndiyo yako hivi,,kuweni serious msipende kujichosha for nothing
18km from Nairobi cbd
hii kaliView attachment 1680405View attachment 1680406View attachment 1680407View attachment 1680408View attachment 1680409View attachment 1680410View attachment 1680411


Kikuyu nimekaa eneo moja inaitwa kid farm co na gitaru ambayao sio mbali na kikuyu town kikukweli kikuyu ni kusafi, security nzuri Ila ni Ka mini town tatizo Kenya kila eneo mnaita town sema ipo kiambu county adminstration yake inafanyiwa huko huko issue ya kusema ni Nairobi metropolitan hapo ndo huwa mna fail🙂 Nairobi ni Nairobi kiambu ni kiambu mbona Nairobi ina govonor wake na kiambu ina govonor wake kama kweli kitu kimoja?Nairobi has its boundaries, just the same way Dar has its boundaries. Why you expect Kikuyu to fall within Nairobi boundaries when it isn't only you can tell us. Perhaps you've never been to Nairobi but this city outgrew its boundaries many years ago and that's why there are places that are not geographically in Nairobi but now identify with the city. It has become one big metropolis spreading to as far as Isinya and Ngong in Kajiado County to Mlolongo and Syokimau in Machakos county and Ruiru and Juja in Kiambu County. All these are built up areas, something that you will never find in Dar.
I want to single out Kikuyu for instance. You became selective in your post about this area not knowing that Kikuyu is more than what you portrayed. Yes, this is Kikuyu, and it's not in Nairobi though it forms part of the metropolis
View attachment 1680375View attachment 1680376View attachment 1680377View attachment 1680378View attachment 1680380View attachment 1680381View attachment 1680384
Bado mko nyuma kama mkia wa kondoo
Jamaa kaedit mwenywe eti road reserve na wakati huo nj msitu kando na hicho kijijiRoad reserve gani wakati already kuna barabara pana hapo kando? Kijiji ndani ya jiji![]()
![]()
Unajua maana ya metropolis au unajiropokea tuKikuyu nimekaa eneo moja inaitwa kid farm co na gitaru ambayao sio mbali na kikuyu town kikukweli kikuyu ni kusafi, security nzuri Ila ni Ka mini town tatizo Kenya kila eneo mnaita town sema ipo kiambu county adminstration yake inafanyiwa huko huko issue ya kusema ni Nairobi metropolitan hapo ndo huwa mna failNairobi ni Nairobi kiambu ni kiambu mbona Nairobi ina govonor wake na kiambu ina govonor wake kama kweli kitu kimoja?
Kumbe wewe ni Mlazy uliyeishi Kenya.Kikuyu nimekaa eneo moja inaitwa kid farm co na gitaru ambayao sio mbali na kikuyu town kikukweli kikuyu ni kusafi, security nzuri Ila ni Ka mini town tatizo Kenya kila eneo mnaita town sema ipo kiambu county adminstration yake inafanyiwa huko huko issue ya kusema ni Nairobi metropolitan hapo ndo huwa mna fail🙂 Nairobi ni Nairobi kiambu ni kiambu mbona Nairobi ina govonor wake na kiambu ina govonor wake kama kweli kitu kimoja?
Hata mkiita super/mega na majina yakukuza maeneo Kenya bado Sana wadanganyeni watu ambao hawajafika Kenya Tanzania sio level yenu🙂Unajua maana ya metropolis au unajiropokea tu
Mlazy ambaye alikua anagawa peddy,chakula na kushughulikia watu wa slum kama nyinyi kiufupi nliikua natoa msaada kwenu🙂Kumbe wewe ni Mlazy uliyeishi Kenya.
Wacha ujinga. Eti sasa Tanzania imedevelop kushinda Kenya? Unatumia statistics gani kudhibitisha hayo? Data ya world bank au data ya vijiweni?Hata mkiita super/mega na majina yakukuza maeneo Kenya bado Sana wadanganyeni watu ambao hawajafika Kenya Tanzania sio level yenu🙂
Yani nchi inanuka madeni alaf wameanza kumkabidhi mchina amiliki miradi ya kimkakati 🤣🤣🤣Inakaa Uhuru crooks wamesafisha account ya kebs!
Uongo mtupu. Nyie wasichana wenu hawana pedi mtoe wapi pesa ya kuleta pedi kwa nchi yenye Gdp ya $100 billion?Mlazy ambaye alikua anagawa peddy,chakula na kushughulikia watu wa slum kama nyinyi kiufupi nliikua natoa msaada kwenu🙂