Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Idiot there is a reason there is two counties i.e. Nairobi and Kiambu! U can't combine them to just suit ur ego of trying to prove the road is in Kiambu county yet it is called Nairobi western Bypass! Huo ni ufalamanga!
Kwhyo tatizo lako jina kumbe
Mbona kw thika husema na wakati thika highway kuna sehemu ipo nairobi..

We mzee km una yako uyaseme tu
 
Noma sana Mkuu, mimi Physics siwezi isahau ilinidhalilisha siku ya paper . Nilikuaga siisomi kabisa na sikua na mpango nayo. Mwaka huo paper la mock nilipiga D safi, Masela wakanipamba duh, hujawahi soma hili soma na unapiga D, noma sana. Kumbe kuna swali lilikosewa tukapata marks za bure.

Basi Miezi kadhaa mbele NECTA nikaingia zangu kupiga Paper la Physics. Kwenye practical masela wakakimbilia vifaa wanavyojua wakaliacha lile la dude sijui pendulum Bob lipo wazi. Nikaaa zangu pale nikawa nachezea chezea . Basi wire ule nikaukata kipande, Baada ya muda invigilator kapita kashangaa kidogo kaniuliza wire niliokupa upo wapi? Nikamwambia Nimeukata mrefu sana, kumbe ile kitu ilikua Constant wakuu, Alinifokea kwenye chumba cha Mtihaani “WE FALAA NINI” kamwita Askari nikapewa wire mwingine nikaendelea kuchezea hadi kuda ukaisha.

Matokea yakatoka nina mswaki kama kawa ila haijaharibu mambo yangu, Nikapiga ABB nikaenda zangu CBG , Nikasoma Miezi kadhaa ila walikuja walimu wa chuo somo moja walimu kibao , Yaani kila mwalimu na topic yake, nikaona ni fujo nikakimbilia HGL . Piga zangu ABC huko NECTA A-Level , Nahisi ningebaki CBG nisengetoboa.
Hahahaha HGL shuleni kwetu tulikua tunayaita combination ya viti maalum 😅😅😂
 
Vitu vya msingi kama hivi huwa hawana muda navyo.



Vyombo vya habari bana
Na hapo siku ingine wataandika kenya iwe km marekani wakati wanasahau km life kwetu ni cheaper kuliko kule..

Najua lazima watajisahau siku hyo
 
ikiwa 10-20km kutoka cbd tu imewashinda kujenga mnataka kulinganisha km za ujenzi wa nairobi kwa dar seripusly....

wayaki,kikuyu n.k....

hizo sehemu bado sana ni local spaces za kutosha na ni km chache tu kutoka cbd yenu....

huwa mnapenda sana kujifurahishaView attachment 1679570View attachment 1679571View attachment 1679572View attachment 1679573View attachment 1679574View attachment 1679575View attachment 1679576View attachment 1679577View attachment 1679579View attachment 1679580View attachment 1679582View attachment 1679583View attachment 1679585
Kikuyu kwn siku hizi ipo nairobi eakenya wenzangu
Kuna jamaa huku hajui hta kutumia internet yeye bora achokore apate picha anatupia
 
Toure Drive, kuelekea Coco Beach.

IMG_4417.jpg

IMG_4418.jpg
 
Logic ya coding huwa inafundishwa 'A' levels kwenye Math 2 (Advanced Applied Math).

Katika boolean algebra vipengele vya truth tables (if else statements) na flow chart (algorithms) mwanafunzi anatayarishwa ku-thinking imperatively ambayo ndiyo misingi ya coding.

Ukishakuwa na msingi huo, mambo ya data structure na abstraction zingine kama pointers haziwezi kukusumbua.
Vitu vya o level hku hvyo, umeona sasa tofauti yetu
 
Back
Top Bottom