Alaaa!!bunge la dar kwn likojeKwani makao makuu ya tanzania yako wapi hebu nijibumbona hushangai bunge lipo dodoma na wizara zote zipo dodoma
Mambo ya kawaida tu broNimegee siri umesomea nn bro
Hii road mlikurupuka tu kuijenga, itawaumiza kuliko SGR na wala haitosaidia chochote kupunguza traffic km unabisha subiri uone, mana nyie huwa mnachelewa sn kuelewaProgress ya Nairobi Expressway. Mashine zinatumika kuinua beams.
View attachment 1680379View attachment 1680383View attachment 1680386View attachment 1680388


Ulifanya kwa NGOs hizo zote? Ama unaniona mjinga? Najua hizo NGOs na afadhali hata ungesema umefanya na NGO moja, sio NGOs kumiBro nlikua nafanya na mashirika haya concern worldwide, pathfinder,tika Africa, compassion international kutemebelea slums za Kenya especially Nairobi ndo ilikua first goal maana umaskin umekidhiri Sana 🙂
Hahahaha!!acha upimbi.. boolean algebra, truth table, algorithm zote zipo O level pia
Kwn nairobi ni CBDsasa kama 20km tu unakuwa out of nairobi,,,,,
serious mnataka kulinganisha dar heaven city na hako kamji kapo kama punje ya unga na mmeshindwa kujenga.....seriously....
ya leo kali 20km out of nairobi na bado kuna vichaka vya kutoshaView attachment 1680315


Kama hujaaona aerial view hapo then I don't know what you understand by the word aerial view







Rudia kwanza nilichokiandika mzee baba, kwan wanaosomea kenya wote ni wakenyaThubutuu
Unajua ugumu wa kupata working permit Tanzania au unausikia?
Kikuyu is too green to look like this 😅😅😅unafanya selection za area
huku unamwachia nani yaani 18km mambo ndiyo yako hivi,,kuweni serious msipende kujichosha for nothing
18km from Nairobi cbd
hii kaliView attachment 1680405View attachment 1680406View attachment 1680407View attachment 1680408View attachment 1680409View attachment 1680410View attachment 1680411
Unemployment gani hyo na wakati vijana siku hizi wanafanya kazi mitaani na kulipwaUkiwa humu unatetea hiyo unemployment rate ila ukiwa nje ya jamiiforums hiyo unemployment rate inakuumiza sana na huo ndio tunaita uzalendo maandazi.
I want you to look at it this way. Kikuyu is only 20 kilometers from Nairobi cbd. Niambie kama sehemu iko kilomita ishirini Kutoka Dar cbd haitegemei Dar kwa namna moja ama nyingine. Remember that boundaries ni vitu imewekwa na watu. There's no law that prohibited the drawers of these boundaries to include places like Kikuyu or Juja in Nairobi. They just deemed it fit that way. Nyinyi mlipoamua kuweka boundary ya Dar iwe kubwa hata kama sehemu nyingi ni vijijini ilikuwa ni wazo la waliochora hiyo mipaka. Nairobi might be is smaller in size but geographically it's much bigger than that so the administrative boundaries should not be a stumbling block to development of adjacent areas like Kikuyu.We huoni kama Hilo ni tatizo?mbona etegemee Nairobi wakati Nairobi ina sua sua? Kwa over population?mbona kikuyu isewe empowered ijitegemee kiviake? Issue kama hizi huwez ukapata bongo kila mkoa uko empowered kweli Tanzania ina ngaa kila Kona nakupenda milele🙂kijani,manjano,nyeusi na blue🇹🇿🇹🇿
Expressway inajengwa kote kote kuanzia India, China, South Korea, Carlifonia, Texas e.t.c just because nyinyi ni washamba na hamna exposure ya kujua umuhimu wa expressway haimaanishi kwamba wanaojenga expressway dunia nzima ni wajinga na nyinyi pekee ndio werevu. Expressway ina umuhimu wake ndugu, fanya research kwenye internet.Hii road mlikurupuka tu kuijenga, itawaumiza kuliko SGR na wala haitosaidia chochote kupunguza traffic km unabisha subiri uone, mana nyie huwa mnachelewa sn kuelewa![]()
Tika nimefanya mwaka mmoja contract, pathfinder miez minane, concern worldwide miaka mitatu compassion ndo nimekaa sana 4 years mbona watu wamefanya mashirika Mia sababu hizi NGOs huwa ni mambo ya contract mkizinguana mnasonga mbele alafu kama CV yako nzuri Una advantage ama Hilo hujui?🙂Ulifanya kwa NGOs hizo zote? Ama unaniona mjinga? Najua hizo NGOs na afadhali hata ungesema umefanya na NGO moja, sio NGOs kumi
Naona nishakutoa katika reliHata mkiita super/mega na majina yakukuza maeneo Kenya bado Sana wadanganyeni watu ambao hawajafika Kenya Tanzania sio level yenu![]()


Kikuyu is too green to look like this 😅😅😅
Nairobi kutoka cbd imejengeka pande zote au bado unabishaNairobi imejengeka 360 ndio mlivofundishwa huko mashuleni au![]()
Si tuliiga kwenu mfumo wetu wa ugatuzi km anavyosema mwenzakoMawaziri wa halmashauri ndio watu gani hao![]()


Mpuuze huyoUelewa wako ndio mdogo. How can Dar develop 360 degrees?
Tutakuja kuendelea??![]()
![]()
![]()
Now that's a classical example of the pot calling the kettle black. What makes you think Tanzania imeendelea kuliko Kenya?









