Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Evidence.
There's plenty of evidence here. Ukiitisha unapewa
2280048_ajira (1).jpg
 
I want you to look at it this way. Kikuyu is only 20 kilometers from Nairobi cbd. Niambie kama sehemu iko kilomita ishirini Kutoka Dar cbd haitegemei Dar kwa namna moja ama nyingine. Remember that boundaries ni vitu imewekwa na watu. There's no law that prohibited the drawers of these boundaries to include places like Kikuyu or Juja in Nairobi. They just deemed it fit that way. Nyinyi mlipoamua kuweka boundary ya Dar iwe kubwa hata kama sehemu nyingi ni vijijini ilikuwa ni wazo la waliochora hiyo mipaka. Nairobi might be is smaller in size but geographically it's much bigger than that so the administrative boundaries should not be a stumbling block to development of adjacent areas like Kikuyu.

Cha pili unafaa kuelewa ni kwamba Kikuyu inapatikana Kiambu county. Kiambu is the second richest county in Kenya after Nairobi and also the most developed after Nairobi so unaposema mtu wa Kikuyu anategemea Nairobi sijui unamaanisha nini. That alone should tell you that mtu wa Kikuyu is more empowered than most Dar residents. Mimi niliongelea kuhusu watu wanaoishi Kikuyu ila wanafanya kazi Nairobi. I didn't mean that the entire Kikuyu area residents depend entirely on Nairobi for their livelihoods. Learn to grasp certain simple things
Labda nikonyoshee vizuri jairani ninacho kuambia ni Kua Nairobi inazidiwa nguvu maana wengi wanatoka maeneo Yao wanakuja Nairobi Ku access huduma muhimu mfano kama mahospitali sio lazima mtu aje mbagathi,Kenyatta etc county zenu zingeboresha huduma Kama hizi muhimu ingekua poa,
 
ile sehemu ,,tumeamua kuwa hivyo ni reserve na haoapaswi kuendelea kujengwa mpaka serikali iruhusu......
hilo eneo lisikutishe ni kasehemu kadogo hiyo sehemu ni kubwa sana tofauti na unavyojidanganya
Reserve ya vijiji labda
Mume edit ndio mtudanganye
 
Huku kwetu kinachoangaliwa scores zako haijalishi umesoma UDSM, UDOM, SUA, RUCO au whatever.
Hahahaha!!umekuja kivingine, mtz aliyesomea kenya katika interview anakuacha hadi ushangae imekuaje..

Kwanza kampuni wakiskia kasomea kenya hawawazi tena nikuchukua na kuweka tu
 
Just the same way they believe that Dar is more developed than Nairobi! They are living in utopia but they really need to wake up from that dream
Hapa vp unadhani mnaikaribia Dar hata kdg? Km mnaikaribia naomba ujibu kwa picha, mind u, hizo mambo nimepost ziko pia Europe na ndiyo zina tofautisha Nairobi na Dar
tapatalk_1595015188304.jpg
tapatalk_1595265016012.jpg
tapatalk_1602335745867.jpg
tapatalk_1603049553915.jpg
tapatalk_1602677362807.jpg
tapatalk_1602063002682.jpg
JamiiForums-297836767.jpg
tapatalk_1600250386140.jpg
 


ni hapa mkuu

halafu chek chin machakos yaani ni km chache kutoka nairobi almost 60km....ila check kulivyo chakaa ,maji shida nyumba za udongo za kuyisha ...View attachment 1680560View attachment 1680562View attachment 1680563
Lol!!! Theres enough content online about these places.... Why you guys choose to look stupid I don't understand 🤪🤪🤪




Machakos is a considered a small township here in Kenya and folks here rarely post such..

Still looks much better than the Dream house filled Iringa's Mbeya's Morogoro's et all that you guys post here day and night!!!!
 
Expressway inajengwa kote kote kuanzia India, China, South Korea, Carlifonia, Texas e.t.c just because nyinyi ni washamba na hamna exposure ya kujua umuhimu wa expressway haimaanishi kwamba wanaojenga expressway dunia nzima ni wajinga na nyinyi pekee ndio werevu. Expressway ina umuhimu wake ndugu, fanya research kwenye internet.
Sijasema haina umuhimu ila hiyo kwenu haina umuhimu wowote ni upuuzi tu, bado mna mambo mengi ya kufanya kuliko kujenga vitu vya pleasure.
 
Labda nikonyoshee vizuri jairani ninacho kuambia ni Kua Nairobi inazidiwa nguvu maana wengi wanatoka maeneo Yao wanakuja Nairobi Ku access huduma muhimu mfano kama mahospitali sio lazima mtu aje mbagathi,Kenyatta etc county zenu zingeboresha huduma Kama hizi muhimu ingekua poa,
You are getting too emotional for no good reason. Kwa hivyo Dar watu hawaji Kutoka mashambani kuja kutafuta ajira na mambo mengine? Mbona umeanza kuchanganyikiwa? Sitaki kuongelea kuhusu huduma za hospital hapa. Kuna uzi ilifinguliwa na mmoja wenu kuhusu hili na alipata kichapo cha mbwa msikitini. The county governments are doing a tremendous job in healthcare. Fuatilia hiyo mada hapa
 
Tika nimefanya mwaka mmoja contract, pathfinder miez minane, concern worldwide miaka mitatu compassion ndo nimekaa sana 4 years mbona watu wamefanya mashirika Mia sababu hizi NGOs huwa ni mambo ya contract mkizinguana mnasonga mbele alafu kama CV yako nzuri Una advantage ama Hilo hujui?🙂
Sasa wewe umefanya kazi na masikini kwani hujui masikini wako kila mahali hata USA? Kuna homeless people wengi sana huko.
 
Sijasema haina umuhimu ila hiyo kwenu haina umuhimu wowote ni upuuzi tu, bado mna mambo mengi ya kufanya kuliko kujenga vitu vya pleasure.
Lakini nyinyi mkijenga flyovers kuna umuhimu 😂 😂
Unafik ulioje huu!!!
 
Sijasema haina umuhimu ila hiyo kwenu haina umuhimu wowote ni upuuzi tu, bado mna mambo mengi ya kufanya kuliko kujenga vitu vya pleasure.
Kwa hivyo expressway haitapunguza traffic jam? Una evidence yoyote kuprove your point?
 
Hapa vp unadhani mnaikaribia Dar hata kdg? Km mnaikaribia naomba ujibu kwa picha, mind u, hizo mambo nimepost ziko pia Europe na ndiyo zina tofautisha Nairobi na DarView attachment 1680677View attachment 1680680View attachment 1680681View attachment 1680682View attachment 1680684View attachment 1680685View attachment 1680686View attachment 1680687
Kwa hivyo BRT ndio measure of development in Dar? Brt inaptikana hata Accra Ghana but last time I checked, Accra didn't have any bragging rights over Nairobi in anything
 
Back
Top Bottom