naomba unijibu swali langu na hili swali sitakuuliza tena nairobi 88 ilianza ujenzi rasmi lini ???????🤣Ubaya ni kwamba unapingana na mwenyeji wa Nairobi anayepita hapo kila siku wakati wewe unaishi mwananyamala, kilometer kadhaa Kutoka Nairobi. Kama hilo jengo lenye net ya green ni 88Nairobi, iweje leo ndio wanamwaga zege? Akili yako inakusaidia kweli?
acha uwongo upana upo nairobi tu tena kwenye hizo high way chache.....Learn how to debate properly kijana, umeambiwa wide roads wewe umeleta potholes, ukipuuzwa utasema unaonewa.
Nasumbuka au unajidanganya mm nataka unijibu swali langu nairobi 88 ilianza kujengwa lini ????🤣🤣🤣🤣Nafurahia vile anasumbuka huyu mwarabu 😂 😂
Hio barabara ni ya lane moja. Ikishapigwa markings itakuwa na lane moja kuenda na lane moja kurudi. Sisi tuna dual carriageway nyingi tu.Tony254 ulikua unasema barabara zetu nyembamba 🤣
Standard ya barabara zetu Tanzania nzima zipo hivi
View attachment 1674656
Nijibu swali langu nairobi 88 ilianza kujengwa lini rasmi 🤣🤣🤣🤣Jokers in self denial can’t believe construction is under way.Show room down belowView attachment 1674652View attachment 1674653View attachment 1674658
Kwa hivyo toka 2017 mpaka leo kwenye hiyo miaka mi3 mmejenga kilometers 69k?






Ni mwendo wa vitasa tuLeo wakenya hawana hamu. Tunafunga ukurasa mmoja baada ya mwingine.
ndiyo maana huwa tunawaambia kuwa hizo fact zenu on paper asilimia kubwa ni cooked huwa mnapenda muonekane tu kwa possition ila reality kwenye ground hampo njema kama jinsi mnavyojitutumua....Umechanganyikiwa. Hakuna mahali knbs imesema kuwa Kenya ina 80k of paved road
Tutajie barabara moja dual carriage yenye urefu wa 100+km.Hio barabara ni ya lane moja. Ikishapigwa markings itakuwa na lane moja kuenda na lane moja kurudi. Sisi tuna dual carriageway nyingi tu.
1920Nasumbuka au unajidanganya mm nataka unijibu swali langu nairobi 88 ilianza kujengwa lini ????🤣🤣🤣🤣
Ilianza kujengwa 1920Wakenya ni wajinga sana leo hii wanataka kujifanya hawajui ujenzi wa nairobi 88 ulianza lini wakat 3 yrs back walikua wakiitaja pinnacle, montave na nairobi 88 leo hii wanajitia hawajui🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hivyo tangu 2018 wanamwaga tu zege? 😂 😂 Wewe kweli ni mwehuLeo hii wanajifanya hawajui ilianza lini ujenzi Tony254 umekuaje mzee🤣🤣👇👇
View attachment 1674666
So mulikua mujaenga nn toka 2018🤣🤣Kwa hivyo tangu 2018 wanamwaga tu zege? 😂 😂 Wewe kweli ni mwehu
What you need is a mental checkup!Nijibu swali langu nairobi 88 ilianza kujengwa lini rasmi 🤣🤣🤣🤣
Wewe hujanielewa. Naton Jr ndio alikuwa anasema uongo mwamba KNBS ilisema Kenya ina 80k of paved roads. Nilipomuuliza atoe ushahidi akashindwa kabisa. Hamna mahali popote ambapo KNBS imesema kwamba Kenya ina 80k of paved roads. Huo ni uongo wa Watanzania.ndiyo maana huwa tunawaambia kuwa hizo fact zenu on paper asilimia kubwa ni cooked huwa mnapenda muonekane tu kwa possition ila reality kwenye ground hampo njema kama jinsi mnavyojitutumua....
kwenye uhalisia wa maisha kenya si kitu.....kuna vitu inabidi mkubaliane navyo tu...