Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara zetu ni pana kushinda zenu. Wewe sijui unaongea nini.
Eti pana
Halafu mkose sideways? Lol

Screenshot_20201231-231440.png
 
Tony ushashindwa, hiki kipande cha mombasa - nairobi si kipo kwenye kila barabara unayoiweka?
Toptorn wacha kulialia. Huyu Venus Star pia anajirudia. Yeye keshapost Dar to Mwanza ambayo lazima upitie Dodoma halafu tena sasa hivi amepost Dar to Kigoma ambayo pia lazima upitie Dodoma. Kwa hivyo hata mwenzako venus star anajirudia, kwa hivyo wacha kulialia. Wacha sindano ipenye.
 
Toptorn wacha kulialia. Huyu Venus Star pia anajirudia. Yeye keshapost Dar to Mwanza ambayo lazima upitie Dodoma halafu tena sasa hivi amepost Dar to Kigoma ambayo pia lazima upitie Dodoma. Kwa hivyo hata mwenzako venus star anajirudia, kwa hivyo wacha kulialia. Wacha sindano ipenye.
Nzega to Mbeya 691km
Twende kazi. Maana naona umeanza kuokoteza manenk
Screenshot_20210111-111422.png
 
Nimekwambia kwenye barabara ni uongo. Ninyi mnapika data. Tunaweza kuanza tu kuelezana barabara kutoka wapi kwenda wapi na urefu wake.

Flyovers tena ni uongo.
Nyie mnapika dada na mnadanganya
Mbona hasira, si na nyie muwambie tanroads wapike..
Unafikiria sai katika sekta ya barabara kuna wa kutugusa, mpka kule ambako mnafikiria ni jangwa nako kuna highway za mana na unafika bila wasi wasi
 
Back
Top Bottom