Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Leo nimepoteza muda kudebate na wewe badala ya kufanya kazi.Mbona unaanza kulia ndugu wapi connection. Ulete data halafu barabara zisionekane!? Hebu tuwekee bhana
Nimeitoa kwenye hazina yangu ya makombora ya maangamizi arsenal 😅😅😅Umeniwahi! utadhani tulikuwa wote tukaambiana tupost wote hiyo screeshot![]()
Karatu to Mbeya 913kmLeo nimepoteza muda kudebate na wewe badala ya kufanya kazi.
Inawezekana kwamba nyinyi ndio wazembe hamtaki ku-update data zenu za barabara halafu mnakuja kutulilia machozi sisi.Mbona unaanza kulia ndugu wapi connection. Ulete data halafu barabara zisionekane!? Hebu tuwekee bhana
Anakimbia huyuWacha mjala uishe. WB na KNBS sio wajinga. Wanajua wanachosema









Sasa mbona umeanza kulia.Inawezekana kwamba nyinyi ndio wazembe hamtaki ku-update data zenu za barabara halafu mnakuja kutulilia machozi sisi.
Unaijua Africa Check wewe?Africa check tena imegeuka ikawa KNBS mkuu?
Tuoneshe hizo kilometres 80k KNBS ilizoonesha ambazo mwenzako kaiweka humuInawezekana kwamba nyinyi ndio wazembe hamtaki ku-update data zenu za barabara halafu mnakuja kutulilia machozi sisi.
Tabora to Kazuramimba 392kmInawezekana kwamba nyinyi ndio wazembe hamtaki ku-update data zenu za barabara halafu mnakuja kutulilia machozi sisi.
Kwa hivyo toka 2017 mpaka leo kwenye hiyo miaka mi3 mmejenga kilometers 69k?As of 2017 mkuu. Kwani hujui kusoma? Halafu hata hivyo WB huwa nyuma kushinda KNBS au TNBS











Kenya ina aidha 18k au 20k of paved road. Nimesahau the exact figure.Kwa hivyo toka 2017 mpaka leo kwenye hiyo miaka mi3 mmejenga kilometers 69k?
Posche haitoki Kenya. Inabaki hapa Kenya. Dealer ndio atabadilishwa. Wewe unacheka na nyinyi hata hamna dealer wa Posche hapo Tanzania maana nyie ni masikini hata hamna purchasing power ya maana.
View attachment 1674445![]()
Kenyan dealer loses Porsche franchise
The franchise owner, Stuttgart-based Porsche AG, is expected to transfer the dealership to a new entrant or one of the existing dealerships in the local market.www.businessdailyafrica.com
Case closed na nisimsikie ngedere yeyote wa kikunya akiongelea roads network pale Tz imetajwaTony254 mambo ya barabara tuache kabisa na ukae kimya. Wewe mwenyewe umeona na hapo nimekuwekea 1/5 ya barabara zetu.








Dar Musoma via Mwanza 1,278kmBro umesahau Musoma to Dar via mwanza😃