ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Ngoja nimuite LightYagami aje atusaidie plz😁😁😁😁😁Kwa hivyo tangu 2018 wanamwaga tu zege? 😂 😂 Wewe kweli ni mwehu
Ngoja nimuite LightYagami aje atusaidie plz😁😁😁😁😁Kwa hivyo tangu 2018 wanamwaga tu zege? 😂 😂 Wewe kweli ni mwehu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jibu swali nairobi 88 ujenzi ulianza lini ili nione mm na ww nani kilazaWhat you need is a mental checkup!
Duh!!hii si ni zile za one way kwenda na kurudiTony254 ulikua unasema barabara zetu nyembamba
Standard ya barabara zetu Tanzania nzima zipo hivi
View attachment 1674656
So mulikua mujaenga nn toka 2018🤣🤣
mkuu hizo km hawatoweza watulie,,Mtwara to Mutukula 2,015km
View attachment 1674473



Ndio ujenzi rasmi ulianza 2016 ila mukawa munasusua na magumashi kibao leo hii sijui munashangaa nn 2021🤣🤣🤣Wacha ujinga. Si wewe ndio ulikuwa unasema ujenzi ulianza 2016 na kwamba crane ilikuwa on site by 2016. Sasa tena umebadilisha gear angani na kubadilisha mwaka wa ujenzi hadi 2018. Niliwaambia nyinyi wabongo huwa ni waongo sana. Nicxie huyu jamaa ni wazimu.
Northern Kenya 😂 😂acha uwongo upana upo nairobi tu tena kwenye hizo high way chache.....
uache ukichaa
Munashangaa nn wakati toka 2018 mupo tu na nairobi 88🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha!!unaumiza watu
Achana na huyo mwarabu. Hana jipya. Hata wenzake wanamshangaa alivyo mbishiWacha ujinga. Si wewe ndio ulikuwa unasema ujenzi ulianza 2016 na kwamba crane ilikuwa on site kutoka 2016. Sasa tena umebadilisha gear angani na kubadilisha mwaka wa ujenzi hadi 2018. Niliwaambia nyinyi wabongo huwa ni waongo sana. Nicxie huyu jamaa ni wazimu.
Munashangaa nn wakati toka 2018 mupo tu na nairobi 88🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa hiyo ndiyo dual carriage!?Northern Kenya 😂 😂 View attachment 1674679
Munashangaa nn wakati toka 2018 mupo tu na nairobi 88🤣🤣🤣🤣🤣
hapo nimekupata ila nawewe uache uwongo ,unaushahidi gani kuwa ni uwongo wa watanzania...?Wewe hujanielewa. Naton Jr ndio alikuwa anasema uongo mwamba KNBS ilisema Kenya ina 80k of paved roads. Nilipomuuliza atoe ushahidi akashindwa kabisa. Hamna mahali popote ambapo KNBS imesema kwamba Kenya ina 80k of paved roads. Huo ni uongo wa Watanzania.
Wewe mwenyewe ndio umeweka post ikionyesha kwamba demolition ya jengo lililokuwa hapo ilianza kufanyika 2018 na kwamba post yenyewe inasema kwamba ujenzi wa foundation itaanza hivi karibuni. Sasa vipi tena unakuwa kigeugeu na kusema kwamba ujenzi ulianza 2016 ikiwa post yako inasema kwamba ujenzi ulianza 2018? Umechanganyikiwa sana. Halafu evidence zote unazopost ni za 2018. Umekosa kupata evidence hata moja ya 2016. Wewe ni muongo na leo tumekukamata.Ndio ujenzi rasmi ulianza 2016 ila mukawa munasusua na magumashi kibao leo hii sijui munashangaa nn 2021🤣🤣🤣
mmeanza excuse sasaDuh!!hii si ni zile za one way kwenda na kurudi


.


ndiyo nin sasa. .?,, wazee wa km nyingi..