Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Umechanganyikiwa. Hakuna mahali knbs imesema kuwa Kenya ina 80k of paved roadTuoneshe hizo kilometres 80k KNBS ilizoonesha ambazo mwenzako kaiweka humu
Umechanganyikiwa. Hakuna mahali knbs imesema kuwa Kenya ina 80k of paved roadTuoneshe hizo kilometres 80k KNBS ilizoonesha ambazo mwenzako kaiweka humu
Tony254 Musoma to Holili 629kmCase closed na nisimsikie ngedere yeyote wa kikunya akiongelea roads network pale Tz imetajwa![]()
Hapo hapo umemaliza game clear shot🙂Dar Musoma via Mwanza 1,278km
View attachment 1674447
Ss unanililia mm, angalia gharama ya hiyo showroom unayojigamba sisi hatuwezi kuwa nayo, alafu angalia na car units mnazonunua per year, then nyinyi ni matajiriPosche haitoki Kenya. Inabaki hapa Kenya. Dealer ndio atabadilishwa. Wewe unacheka na nyinyi hata hamna dealer wa Posche hapo Tanzania maana nyie ni masikini hata hamna purchasing power ya maana.












Nyinyi basi ndio wajinga wa mwisho maana mumekataa ku-update database yenu.
Baada ya kuona kule mnakotarajia hakuna barabara zikoMbona unaanza kulia ndugu wapi connection. Ulete data halafu barabara zisionekane!? Hebu tuwekee bhana


It’s just changing hands nothing for you to celebrate about,the dealership stays in Nairobi,Dar don’t have a single super car dealership for new cars!
View attachment 1674445![]()
Kenyan dealer loses Porsche franchise
The franchise owner, Stuttgart-based Porsche AG, is expected to transfer the dealership to a new entrant or one of the existing dealerships in the local market.www.businessdailyafrica.com
Hizi sindano ulizompiga leo tony hakuna mkunya ataongelea barabara humu, usidhani wakunya wengine hawaoni, wanaona ila wanapita kmy kmy wanasubiri mjadala ufungwe






🤣🤣🤣🤣🤣 Mmetumia miaka 7 kujenga kilometres 4k leo mtumie 3 years kujenga 9k kilometres? 80k kilometers za KNBS umezikana kwa misingi ipi?Kenya ina aidha 18k au 20k of paved road. Nimesahau the exact figure.
Gari moja ni between ksh 10 million to ksh 28 million na wameuza more than 400 cars. Nchi yenu masikini haiwezi kuafford kununua posche zaidi ya 400 in 5 years. Sales ya ksh 5 billion unadhani ni mchezo?Ss unanililia mm, angalia gharama ya hiyo showroom unayojigamba sisi hatuwezi kuwa nayo, alafu angalia na car units mnazonunua per year, then nyinyi ni matajiriView attachment 1674450View attachment 1674451
Ignorance won’t help,the dealership stays in NAIROBI.Ss unanililia mm, angalia gharama ya hiyo showroom unayojigamba sisi hatuwezi kuwa nayo, alafu angalia na car units mnazonunua per year, then nyinyi ni matajiriView attachment 1674450View attachment 1674451
Database ipi. Sisi tunawachezea akili kwenye public. Ki uhalisia tumewapita mbali mno.Nyinyi basi ndio wajinga wa mwisho maana mumekataa ku-update database yenu.
Uzi wa barabara vipi, mbona mliukimbia wakati ule..Case closed na nisimsikie ngedere yeyote wa kikunya akiongelea roads network pale Tz imetajwa![]()



Yani hapa hujakusa nachingwea/Lindi,tarime/Rorya etc Daaah Tanzania is massive with beautiful infrastructure 🙂Dar Musoma via Mwanza 1,278km
View attachment 1674447
Update data zenu. Wacheni kuwa washamba. Sasa unatulilia sisi Wakenya tukusaidie aje? Ambia serikali yenu iwache kuzembea iupdate database yenu ya barabaraDatabase ipi. Sisi tunawachezea akili kwenye public. Ki uhalisia tumewapita mbalo mno.
Naomba uangalie price ya show room, sitaki upuuzi tafadhali.Gari moja ni between ksh 10 million to ksh 28 million na wameuza more than 400 cars. Nchi yenu masikini haiwezi kuafford kununua posche zaidi ya 400 in 5 years. Sales ya ksh 5 billion unadhani ni mchezo?
Sio nyie mnaojigamba km mumetumia miaka mitano kujenga miundombinu tz kuliko awamu zote zileMmetumia miaka 7 kujenga kilometres 4k leo mtumie 3 years kujenga 9k kilometres? 80k kilometers za KNBS umezikana kwa misingi ipi?





Uzi gn huo siujui mm, uleteni hapa tuanze upya tuone.Uzi wa barabara vipi, mbona mliukimbia wakati ule..
Turudi vipi
Jamaa yani walikula bamba