Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ka nchi kadogo kanwahemesha hvyo yani
Hahahaha. Angalau sasa imekubali kuwa nchi yenu ni ndogo. Exposure kidogo unapata.
Tanga to Mutukula 1,367km
Screenshot_20210111-145810.png
 
Toptorn wacha kulialia. Huyu Venus Star pia anajirudia. Yeye keshapost Dar to Mwanza ambayo lazima upitie Dodoma halafu tena sasa hivi amepost Dar to Kigoma ambayo pia lazima upitie Dodoma. Kwa hivyo hata mwenzako venus star anajirudia, kwa hivyo wacha kulialia. Wacha sindano ipenye.
Wote mnachemsha so hamtafika muafaka, tumieni angalau Road codes zaweza saidia
 
Hiyo screenshot yako ni nini inaeleza kwamba hiyo Ni 88Nairobi under construction? As far as I knew it, there are so many buildings under construction in upperhill and that could just be one of them. Mbona umeamua kupiga screenshot half page? Give us a screenshot inayochukua hadi descprition ya hiyo project tujue kweli ni 88Nairobi. Unafikiri watu ni wajinga humu kama we wewe?
 
Hii zonal hospital itagharimu zaidi ya billion 50 itakua kubwa huenda kuliko hata bugando au itaikaribia bugando, wananchi kutoka DRC, Burundi, Rwanda, Uganda wataitumia

Kwenye afya tupo level nyingine
Chato ndio center ya lake zone?
 
Back
Top Bottom