The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hakuna shida as long as Chato nayo ni Tz, so hata mm pia naweza kwenda kuishi kule, ss nyie mnataka kijiji kiendelee kuwa kijiji mjini kuendelee kuwa mjini km huko kwenu au sio.Nyie mna upendeleo mwingi. Sasa Chato ni katown kadogo sana lakini pesa yote ya serikali inamwagwa huko kwa sababu Magufuli anatokea Chato. Mwanza ndio HQ ya lake zones.

