komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
UmekimbizaKwa hivyo unapinga kwamba zege linamwagwa kwenye foundation?

akirudi atakua na khanga kiunini kw ajili ya unenguaji sasaUmekimbizaKwa hivyo unapinga kwamba zege linamwagwa kwenye foundation?

akirudi atakua na khanga kiunini kw ajili ya unenguaji sasalami si highway ama highway si lami tu? Andika kikuyu mzee!Boss lami si highways tu acha kutumia akili kama mende
The same roads tofauti miji tuMkuu bado unawakomesha tuu washanyoosha mikono![]()



Sasa lami mnatumia kwenye sakafu za majumbani!? Hahahahahaha!!! Aisee mbona unanishangaza!?Boss lami si highways tu acha kutumia akili kama mende
Hiyo screenshot yako ni nini inaeleza kwamba hiyo Ni 88Nairobi under construction? As far as I knew it, there are so many buildings under construction in upperhill and that could just be one of them. Mbona umeamua kupiga screenshot half page? Give us a screenshot inayochukua hadi descprition ya hiyo project tujue kweli ni 88Nairobi. Unafikiri watu ni wajinga humu kama we wewe?Mm naforce au ww unadanganya 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 nairobi 88 nani asiejua ujenzi ulianza 2016 alaf ukasimama hata ndugu yako anakushinda kujua ukweli🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 Kasema walismama ujenziView attachment 1674589
Ulifikiria kenya hatuna barabara za lami 1000km kwenda mbele..Hahahahaha!! Asante kwa taarifa. But mimi nilikuwa nataka verification kati ya paper work na reality.
Reality Kenya mpo nyuma mno. Uongo mliokuwa mnautumia kwa sasa ni useless.
Waingereza waliwapatia virtual life.



Hahaha endelea kujidanganya tuWewe ndiye unatakiwa kutuambia. Hizo 18k km ni kutoka wapi kwenda wapi. Mbona simple tu. Maana the longest distance in Kenya is 1,031km.
Tuambie hizo 18k ni wapi kwenda wapi.
La sivyo ni mwendo wenu wa kama kawaida wa kudanganya.


Wewe ndiye unatakiwa kutuambia. Hizo 18k km ni kutoka wapi kwenda wapi. Mbona simple tu. Maana the longest distance in Kenya is 1,031km.
Tuambie hizo 18k ni wapi kwenda wapi.
La sivyo ni mwendo wenu wa kama kawaida wa kudanganya.
Niliona hawapo vizuri baada ya kuona wakiendesha mazungumzo mapya ya SGR na Burundi wakati walishaongea na Rwanda awali, hapo ndio nikajua kuna tofauti japo walikuja vizuriBTW sijamskia Kagame kitambo vp rapport kati ya hawa wawili inasomeka vp?
@Tony254 achana naye huyuKwann mulianza 2016na crane zikafungwa 2017 shida nn kenya sio nchi ya kuaminika kwenye projects
View attachment 1674604
Wewe ndiye unatakiwa kutuambia. Hizo 18k km ni kutoka wapi kwenda wapi. Mbona simple tu. Maana the longest distance in Kenya is 1,031km.
Tuambie hizo 18k ni wapi kwenda wapi.
La sivyo ni mwendo wenu wa kama kawaida wa kudanganya.
He's trying to force that this building has been under construction since 2016 😂 😂 😂Kwa hivyo unapinga kwamba zege linamwagwa kwenye foundation?
The same road different locationsmkuu, unaweza kuchukua hii map then utafute distance ya roads zote zilizoko hapa (blue, yellow na hii grey colors) then ujumlishe (under one quote) tuone inakuja ngap!?! just barabara zinazoonekana kwenye hi map hapa tu (najua kuna barabara in the ground zipo ila hapa hazijainekana,)
View attachment 1674616
Ka nchi kadogo kanwahemesha hvyo yaniHe's trying to force that this building has been under construction since 2016![]()
![]()
![]()
Huyu mwarabu wa Pemba anakuanga so desperate


So ushabadilisha gear hewani already 😂 😂. Huwa mnanichekesha sanaKwa ground vitu ni thick sana, miradi ya maana hamna, Tanzania Ina miradi ya multi billion value
Nimefurahi sasa umekubali kuwa Kenya ni ndogo. Sasa unatakiwa ujue Tanzania yote ipo connected na paved roads.
I see like the same road goes to busia from mombasaMkuu ile barabara la Isiolo to Moyale (500 km) pia tupilia mbali maana barabara yenyewe inastahili kuanzia Mombasa. Barabara zangu zote zitaanzia Mombasa.
Ulisema nikujibu, ndio hili jibu ulilokuwa unatafuta.
Mombasa to Moyale ni 1206 km
View attachment 1674361
Ukiangalia vizuri hata mombasa to Isiolo iko ndani ya mombasa to busiaSasa wewe kijana mbona unafanha cheating!? Isiolo to Mayole umeshaitaja.
Basi unatakiwa ulete Mombasa to Isiolo.
Hakuna barabara hats moja imejirudia kwangu. Twende vizuri ninafuatilia kwa umakini. Nijibu hiyo yangu ya 1,263km.