Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Lodwar to Narok 555 kmYou have to admit kwamba umeshindwa.
Hahahaha umeanza kuokoteza
Dar to Mwanza 1,128km
View attachment 1674393
Lodwar to Nanyuki 540 km
Lodwar to Narok 555 kmYou have to admit kwamba umeshindwa.
Hahahaha umeanza kuokoteza
Dar to Mwanza 1,128km
View attachment 1674393
Huyo jamaa ni chizi si mchezo
😂😂😂 Heeehh uswazi reloaded
Unawazimu ww, eneo km hili linaweza kuwa na uswazi? Mzungu anaweza kuishi uswazi?
Sasa kama zote zitaanzia mombasa si unarudia barabara hiyohiyo kabla hazijaachana nairobi?Mkuu ile barabara la Isiolo to Moyale (500 km) pia tupilia mbali maana barabara yenyewe inastahili kuanzia Mombasa. Barabara zangu zote zitaanzia Mombasa.
Ulisema nikujibu, ndio hili jibu ulilokuwa unatafuta.
Mombasa to Moyale ni 1206 km
View attachment 1674361
Unajua jamaa anachokifanya ni nini, mfano barabara ya DSM - Mwanza uanzie Dar, vilevile ya DSM - Tunduma uanzie Dar ambapo DSM - Moro itakua imetokea kila mara ndio anachokifanya kulazimisha zianzie Mombasa wakati zimegawanyika NairobiSasa wewe kijana mbona unafanha cheating!? Isiolo to Mayole umeshaitaja.
Basi unatakiwa ulete Mombasa to Isiolo.
Hakuna barabara hats moja imejirudia kwangu. Twende vizuri ninafuatilia kwa umakini. Nijibu hiyo yangu ya 1,263km.
Mpaka unajicheka mwenyewe. Unaweza vipande vipande lakini bado tu
Kenya haina zaidi ya 10k kilometers za lami
Mwache tu hata hicho atashindwa. Ninampiga kotekote.Unajua jamaa anachokifanya ni nini, mfano barabara ya DSM - Mwanza uanzie Dar, vilevile ya DSM - Tunduma uanzie Dar ambapo DSM - Moro itakua imetokea kila mara ndio anachokifanya kulazimisha zianzie Mombasa wakati zimegawanyika Nairobi
Kisii Garissa 658 kmMpaka unajicheka mwenyewe. Unaweza vipande vipande lakini bado tu
Haya twende Singida Holili 441km
View attachment 1674403
😁 tony anaduplicate kipande cha mombasa - nairobi ndio maana akasema kila barabara ianzie mombasaTwende nao taratibu wataelewa tu, mwisho watakuwekea statistics![]()
Tony ushashindwa, hiki kipande cha mombasa - nairobi si kipo kwenye kila barabara unayoiweka?Mombasa to Eldoret 802 km
View attachment 1674381
WB hii?Kenya imewashinda kwenye barabara mkuu. Kila mtu anakubali hilo. Kuanzia World bank na hata Tanroads pia wanakubali hilo.
Uswazi,kusafi,kuna mpangilio,kuna maji safi,hakuna njaa,sasa huko ulipo sijui kawangware Congo sitaki kutaja changamoto Zake Bora nikae kimya🙂😂😂😂 Heeehh uswazi reloaded
View attachment 1674397