Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hio crane ni ya jengo lingine. Crane ya 88 imewekwa hapo last year.Hio crane iko hapo toka 2017 mbuzi wewe alaf unaongea nn hapa🤣🤣🤣🤣
View attachment 1674582
Hio crane ni ya jengo lingine. Crane ya 88 imewekwa hapo last year.Hio crane iko hapo toka 2017 mbuzi wewe alaf unaongea nn hapa🤣🤣🤣🤣
View attachment 1674582
Wewe lazima uprove kwamba hio data ya KNBS ni wrong. Na bado hujafanya hivyo. Kazi ni kupiga makelele mitandaoni.Kwahiyo ki uhalisia Kenya no roads. Hahahahahahaha. You have to admit bwana. Wewe ni kijana muungwana.
Hahaha. Wewe unakuanga chizi


ilo tako sio poaHahahahaha!! Asante kwa taarifa. But mimi nilikuwa nataka verification kati ya paper work na reality.Wewe lazima uprove kwamba hio data ya KNBS ni wrong. Na bado hujafanya hivyo. Kazi ni kupiga makelele mitandaoni.
Hujaprove kwamba Kenya haina 18k of paved roads. Ulichoprove ni kwamba serikali yenu ni maembe na lazy hata haiwezi ku-update vitabu vyake.Hahahahaha!! Asante kwa taarifa. But mimi nilikuwa nataka verification kati ya paper work na reality.
Reality Kenya mpo nyuma mno. Uongo mliokuwa mnautumia kwa sasa ni useless.
Waingereza waliwapatia virtual life.
Kwa ground vitu ni thick sana, miradi ya maana hamna, Tanzania Ina miradi ya multi billion value![]()
Kenya's economic growth to rebound next year, World Bank says
Kenya's economic growth is expected to bounce back next year, the World Bank said on Wednesday, as it emerges from a projected decline in output this year caused by the coronavirus crisis.www.reuters.com
Hii inawafaa masponsors
Wewe ndiye unatakiwa kutuambia. Hizo 18k km ni kutoka wapi kwenda wapi. Mbona simple tu. Maana the longest distance in Kenya is 1,031km.Hujaprove kwamba Kenya haina 18k of paved roads. Ulichoprove ni kwamba serikali yenu ni maembe na lazy hata haiwezi ku-update vitabu vyake.
Kwann mulianza 2016 🤣🤣🤣 na crane zikafungwa 2017 shida nn kenya sio nchi ya kuaminika kwenye projectsKwa hivyo unapinga kwamba zege linamwagwa kwenye foundation?
Hizi battle za kitoto mnapenda sana..utawezaje kupost na kumaliza barabara zote ziko kenya za lami??? Hizi data zipo kwa kila nchi if unataka data you just have to look kwa relevant agencies...battle kama hizi watu hawana time nazoKwahiyo ki uhalisia Kenya no roads. Hahahahahahaha. You have to admit bwana. Wewe ni kijana muungwana.
🤣🤣🤣👇👇👇👇👇Hio crane ni ya jengo lingine. Crane ya 88 imewekwa hapo last year.
Boss lami si highways tu acha kutumia akili kama mendeWewe ndiye unatakiwa kutuambia. Hizo 18k km ni kutoka wapi kwenda wapi. Mbona simple tu. Maana the longest distance in Kenya is 1,031km.
Tuambie hizo 18k ni wapi kwenda wapi.
La sivyo ni mwendo wenu wa kama kawaida wa kudanganya.
BTW sijamskia Kagame kitambo vp rapport kati ya hawa wawili inasomeka vp?Hii zonal hospital itagharimu zaidi ya billion 50 itakua kubwa huenda kuliko hata bugando au itaikaribia bugando, wananchi kutoka DRC, Burundi, Rwanda, Uganda wataitumia
Kwenye afya tupo level nyingine