President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Sasa unatuletea kituko gani hichi sasa yaani Kesnya $1.4b Tanzania $5.6b
Mara tano.
Sasa unatuletea kituko gani hichi sasa yaani Kesnya $1.4b Tanzania $5.6b
Unaropokwa nini na Kenya huwa inawapiga kwenye idadi ya tourists kila mwaka. Nyinyi huwa mnatupiga tu kwenye revenue mnayopata from tourism.Kuna mwehu anajipa moyo eti hii idadi ni ndogo, hahahahaaa, Tz itawaumiza sn km hamtaki kukubaliana na ukweliView attachment 1674528View attachment 1674529View attachment 1674530View attachment 1674531
Tony254 issue ya barabara vipi mbona umepotea!? Naomba uwe mkweli.Hata kwenye kuassemble magari tunawapiga sana. Sasa sijui unalialia kwa nini?
Talk with data how many international tourists arrived in Zanzibar and tanzania in general last year.Kuna mwehu anajipa moyo eti hii idadi ni ndogo, hahahahaaa, Tz itawaumiza sn km hamtaki kukubaliana na ukweliView attachment 1674528View attachment 1674529View attachment 1674530View attachment 1674531
Poa haina shida but bado mimi ninaongoza
Maana upoa na 900+Mombasa to Busia
1206km Mombasa to Mayole.
Mimi nimekuwekea
1. Dar to Tunduma 816km
2. Dar to Mtwara 563km
3. Iringa to Namaga 716km
4. Tunduma to Mutulula 1,263km
5. Biharamulo to Isibania 516km
Sasa naweka Mtwara to Mbamba bay 816km
View attachment 1674371


lakini data ya maziwa hawajui kukusanya 👉👉👉💩💩Sasa unatuletea kituko gani hichi sasa yaani Kesnya $1.4b Tanzania $5.6b
Mara tano.
Sijui kama mumetuzidi au la kwenye paved roads. Kwenye vitabu inasema kwamba tumewapiga ila kwenye ground inaonekana mambo ni tofauti. Sasa mimi nakosoa serikali yenu kwa kutoupdate vitabu vyenu.Tony254 issue ya barabara vipi mbona umepotea!? Naomba uwe mkweli.
Uharo wa KM tope km huo kwetu tumesahau, yani tope la KM mia moja kati kati ya town mbiliWengine wanapika statistics, Tanzania ipo kwa ground
Hapo unamuumiza sana walai, hataki kuskia kabisa hilo..Unaropokwa nini na Kenya huwa inawapiga kwenye idadi ya tourists kila mwaka. Nyinyi huwa mnatupiga tu kwenye revenue mnayopata from tourism.

Basi nakuomba utuwekee list ya hizo barabara zenu kwa majina tuone kama kweli urefu mnaodai ni kweli.Sijui kama mumetuzidi au la kwenye paved roads. Kwenye vitabu inasema kwamba tumewapiga ila kwenye ground inaonekana mambo ni tofauti. Sasa mimi nakosoa serikali yenu kwa kutoupdate vitabu vyenu.
FACTS TZ earned 2.562 million dollars.KONDOO ka post in TZ shillings!Sasa unatuletea kituko gani hichi sasa yaani Kesnya $1.4b Tanzania $5.6b
Mara tano.
Nadhani Shein aliamua kulizindua kabla! Wanasiasa bwana! 🤣 🤣 🤷♂️Geza hivi jengo jipya la uwanja wa Zanzibar bado halijaanza kutumiwa? Maana hapo ni jengo la zamani
SikupingiHapana mkuu mimi ninafuatilia sana masuala ya barabara angalia hapo barabara ya Tunduma - Sumbawanga - Mpanda - Uvinza - Nyakanazi. Ilishakamilika tangu 2019
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema jumla ya kilometa 530 za barabara za ukanda wa magharibi kuanzia Tunduma – Sumbawanga – Mpanda – Uvinza – Nyakanazi ujenzi wake umekamilika na kilometa zingine 597 za barabara za lami ujenzi wake upo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
View attachment 1674243
Hapo vipiPoa haina shida but bado mimi ninaongoza
Maana upoa na 900+Mombasa to Busia
1206km Mombasa to Mayole.
Mimi nimekuwekea
1. Dar to Tunduma 816km
2. Dar to Mtwara 563km
3. Iringa to Namaga 716km
4. Tunduma to Mutulula 1,263km
5. Biharamulo to Isibania 516km
Sasa naweka Mtwara to Mbamba bay 816km
View attachment 1674371


Ongeza ya bukoba dar huone balaa lake