Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Mbona umeanza kuliaTony ushashindwa, hiki kipande cha mombasa - nairobi si kipo kwenye kila barabara unayoiweka?


Wewe saa zingine unafaa tu kupuuzwa. 2016 hata foundation haikuwa imechimbwa🤣🤣🤣🤣🤣 hilo jengo limeanza toka 2016 sasa leo nawashangaa
Sijui kama mumetuzidi au la kwenye paved roads. Kwenye vitabu inasema kwamba tumewapiga ila kwenye ground inaonekana mambo ni tofauti. Sasa mimi nakosoa serikali yenu kwa kutoupdate vitabu vyenu.
Mm nakwambia 2016 ndio walianza ujenzi alaf wakakwama miaka ikapita ndio leo sijui munashangaa nn wakat jengo lina miaka 5 halijawekwa hata tofali moja 🤣🤣🤣🤣Wewe saa zingine unafaa tu kupuuzwa. 2016 hata foundation haikuwa imechimbwa
Hio crane iko hapo toka 2017 mbuzi wewe alaf unaongea nn hapa🤣🤣🤣🤣Wewe saa zingine unafaa tu kupuuzwa. 2016 hata foundation haikuwa imechimbwa
Evidence![]()
Evidence![]()
I hate it when you try to force things. Kando ya hiyo crane you can clearly see there's a building under construction with a green net around it. Kwani hii nyumba ilikuwa ikijengwa ikirudi nyuma? Kama saa hii ndio wanamwaga zege kwenye foundation, iweje hiyo picha yako iko na ghorofa inajengwa hadi iko na net all round? Hiyo green net ni ya nini?Hio crane iko hapo toka 2017 mbuzi wewe alaf unaongea nn hapa🤣🤣🤣🤣
View attachment 1674582



Izo takataka wanaziitajeMm naforce au ww unadanganya 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 nairobi 88 nani asiejua ujenzi ulianza 2016 alaf ukasimama hata ndugu yako anakushinda kujua ukweli🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 Kasema walismama ujenziI hate it when you try to force things. Kando ya hiyo crane you can clearly see there's a building under construction with a green net around it. Kwani hii nyumba ilikuwa ikijengwa ikirudi nyuma? Kama saa hii ndio wanamwaga zege kwenye foundation, iweje hiyo picha yako iko na ghorofa inajengwa hadi iko na net all round? Hiyo green net ni ya nini?
Boss mimi sifanyi kazi KNBS. Tafuta statisticians wanakfanya kazi huko. Hao ndio waliocollect data, sio mimi.Basi nakuomba utuwekee list ya hizo barabara zenu kwa majina tuone kama kweli urefu mnaodai ni kweli.
Kwa hivyo unapinga kwamba zege linamwagwa kwenye foundation?🤣🤣🤣🤣🤣 hilo jengo limeanza toka 2016 sasa leo nawashangaa
Tena wewe huwezi chochote.Hapo vipi
Yani sai hamjui km mtataja wapiView attachment 1674570View attachment 1674571View attachment 1674572
Mkuu bado unawakomesha tuu washanyoosha mikonoTena wewe huwezi chochote.
Twende tu kazi kama utaweza
Mbamba bay to Isbania
View attachment 1674597






Kwahiyo ki uhalisia Kenya no roads. Hahahahahahaha. You have to admit bwana. Wewe ni kijana muungwana.Boss mimi sifanyi kazi KNBS. Tafuta statisticians wanakfanya kazi huko. Hao ndio waliocollect data, sio mimi.