Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ca7a9ff75d97b4d9aff24f6ac8dd7e78(1).jpg
 
Hii mpya kaka nmepata TANROADSView attachment 1674220
Hapana mkuu mimi ninafuatilia sana masuala ya barabara angalia hapo barabara ya Tunduma - Sumbawanga - Mpanda - Uvinza - Nyakanazi. Ilishakamilika tangu 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema jumla ya kilometa 530 za barabara za ukanda wa magharibi kuanzia Tunduma – Sumbawanga – Mpanda – Uvinza – Nyakanazi ujenzi wake umekamilika na kilometa zingine 597 za barabara za lami ujenzi wake upo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
Screenshot_20210111-081301.png

 
Barabara ya Dodoma - Kondoa - Babati
Ilikamilika 2018
 
Eti international stadium
Kama vile wanavyoita superhighway kale kabarabara la thika
Unadharau Thika road na hamna barabara kama hio. Wewe ni wazimu. Jengeni kwanza barabara kama hio ndio ulete dharau.
 
Kwenye barabara sio kweli. Kenya inadanganya kwenye statistics.

Hebu tuambie connections za county na county. Kisha na sisi tutakupatia.
Mfano Nairobi to Wajir, Wajir to Masarbat nk.
Sisi tutakupatia Dar to Lindi and Lindi to Mtwara.
Nairobi to wajir ni highway tarmac safi sana
Nairobi to marsbit pia ni tarmac all the way to moyale
 
Kwenye barabara sio kweli. Kenya inadanganya kwenye statistics.

Hebu tuambie connections za county na county. Kisha na sisi tutakupatia.
Mfano Nairobi to Wajir, Wajir to Masarbat nk.
Sisi tutakupatia Dar to Lindi and Lindi to Mtwara.
Tunawapiga sio kwa urefu pekee (kilometres) wa barabara bali tunawapiga kwenye upana wa barabara na hata kwenye idadi ya flyovers na interchanges (cloverleaf interchanges) na hata kwenye expressways. Usiangalie urefu pekee, angalia hata kwenye sofistication ya barabara. Tuna dual carriageway roads kilometres nyingi kuwashinda.
 
Hapana mkuu mimi ninafuatilia sana masuala ya barabara angalia hapo barabara ya Tunduma - Sumbawanga - Mpanda - Uvinza - Nyakanazi. Ilishakamilika tangu 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema jumla ya kilometa 530 za barabara za ukanda wa magharibi kuanzia Tunduma – Sumbawanga – Mpanda – Uvinza – Nyakanazi ujenzi wake umekamilika na kilometa zingine 597 za barabara za lami ujenzi wake upo katika hatua mbalimbali za ROAD NETWORK
Hapana mkuu mimi ninafuatilia sana masuala ya barabara angalia hapo barabara ya Tunduma - Sumbawanga - Mpanda - Uvinza - Nyakanazi. Ilishakamilika tangu 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema jumla ya kilometa 530 za barabara za ukanda wa magharibi kuanzia Tunduma – Sumbawanga – Mpanda – Uvinza – Nyakanazi ujenzi wake umekamilika na kilometa zingine 597 za barabara za lami ujenzi wake upo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
View attachment 1674243
KENYA ROAD NETWORK
F8055851-85DD-4FD5-AD9B-41C59C624D28.jpeg
C3681F10-2B4B-4362-BBBF-F50CCE2DF1D1.jpeg
9C69AA25-2F15-4FFE-A29D-19A1E0BEE872.jpeg
 
Back
Top Bottom