Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapana mkuu mimi ninafuatilia sana masuala ya barabara angalia hapo barabara ya Tunduma - Sumbawanga - Mpanda - Uvinza - Nyakanazi. Ilishakamilika tangu 2019

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema jumla ya kilometa 530 za barabara za ukanda wa magharibi kuanzia Tunduma – Sumbawanga – Mpanda – Uvinza – Nyakanazi ujenzi wake umekamilika na kilometa zingine 597 za barabara za lami ujenzi wake upo katika hatua mbalimbali za ujenzi.
View attachment 1674243
Hata mimi nimenotice barabara nyingi tu hapo zikionyeshwa unpaved wakati ziko paved.
 
Tunawapiga sio kwa urefu pekee (kilometres) wa barabara bali tunawapiga kwenye upana wa barabara na hata kwenye idadi ya flyovers na interchanges (cloverleaf interchanges) na hata kwenye expressways. Usiangalie urefu pekee, angalia hata kwenye sofistication ya barabara. Tuna dual carriageway roads kilometres nyingi kuwashinda.
Nimekwambia kwenye barabara ni uongo. Ninyi mnapika data. Tunaweza kuanza tu kuelezana barabara kutoka wapi kwenda wapi na urefu wake.

Flyovers tena ni uongo.
Nyie mnapika dada na mnadanganya
 
Mmh wacha kujidanga Teargass tz in madaraja mengi na yanayoendelea kujengwa ni mengi pia yatakuchanganya kichwa ngoja nikuinyeshe machache tu . Mkapa bridge 900m
. Kirumi bridge mara Teargass
. Drone footage of kirumi bridge mara Teargass
. Kigamboni bridge Teargass unanipata vizuri .? Kaka The best 007 ongea nae shemeji yangu
. Kikwete bridge Teargass hiyo ni mto malagarasi
. Ngara hiyo Teargass vitu vya hiv kwenu ni hakuna.mnaibiwa tu na wachina
. Magufuli bridge kilombero Teargass
. Madaraja Yanayoendelea kujengwa tz Teargass
. Sarenda bridge Teargass kwenye suala la madaraja Hamtuwezi hata kidogo
. Daraja la wami Teargass
. Pangani bridge tanga Teargass
. Umoja bridge Teargass
. Kelema bridge zaidi ya 200m+ Teargass sisi sio said yenu wewe mama
Wakuu mnaona kipigo anachopewa mtu kwenye madaraja, hahahahahaaa
 
Expressway
20210110_132531.jpg

IMG_20210110_180714.jpg
IMG_20210110_180708.jpg
Screenshot_20210110-214611.png
IMG_20210110_180724.jpg
 
Kwenye bridge sidhani kama tunaweza kushindana na nyinyi. Mko vizuri zaidi. Ni vizuri kusema ukweli. Lakini nyie kwenye malls na kwenye barabara hamuwezi kutugusa.
Kwenye malls huenda mnatuzidi mana cc kipaumbele chetu ni markets ila kwenye roads wacha kabisa usiguse utaumia, nyie zaidi ule uchafu wa maduara mawili hakuna mnachoweza kutugusa km unabisha twende kazi
 
ichoboy01 lile jengo la 88 Nairobi ulilosema kwamba halitawahi kujengwa basi zege (concrete) imeanza kumwagwa kwenye foundation. Jengo lenyewe litakuwa na 44 floors

View attachment 1674189View attachment 1674190View attachment 1674191View attachment 1674192


Jengo litafanana hivi likikamilika
View attachment 1674193View attachment 1674194
Limeanza kujengea lini ??? Hebu tukumbushe kidogo manake toka naliskia leo inakwenda mwaka wa tano 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom