Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimekwambia kwenye barabara ni uongo. Ninyi mnapika data. Tunaweza kuanza tu kuelezana barabara kutoka wapi kwenda wapi na urefu wake.

Flyovers tena ni uongo.
Nyie mnapika dada na mnadanganya
Hahaha. Kwa hivyo nyie mna flyovers nyingi kutushinda? Ona huyu wazimu.
 
Mbona simple tu. Tunaanza na barabara kisha flyover.
Nimeshaanza
Mombasa to Kisumu vs Dar Es salaam to Tunduma
Nyie 829 sisi 916 hapo we have more 87km.
Twende kazi.
Isiolo to Moyale 500 km. Tuende kazi
 
Kenya imewashinda kwenye barabara mkuu. Kila mtu anakubali hilo. Kuanzia World bank na hata Tanroads pia wanakubali hilo.
Nimeshakwambia mambo ya kupika dada tulishawajua tunataka sasa uanze kutaja barabara kutoka sehemu fulani kwenda sehemu fulani na umbali wake. Mbona simple tu na google maps ipo!?

Twende kazi. Mimi nipo na more 87km kwa sasa
 
Kenya imewashinda kwenye barabara mkuu. Kila mtu anakubali hilo. Kuanzia World bank na hata Tanroads pia wanakubali hilo.
Tanzania tuku vizuri,kuanzia quality na upana🙂huwezi ukakuta Barabara za bongo zimebonyea na kingine weigh bridge zetu ziko poa zidisha kiwango cha mizigo kwenye trailor ukutane na show🙂 na pia kwenye issue ya connectivity tumewapiga vibaya mno from mkoa to mkoa.
 
It was on hold since 2016 🤣🤣🤣
Hatujakataa kwamba it was on hold. Fact ni kwamba ujenzi umeshika kasi. Walikuwa wanajenga hata usiku na hata siku ya kuruka mwaka ujenzi ulikuwa unaendelea
 
Tanzania tuku vizuri,kuanzia quality na upana🙂huwezi ukakuta Barabara za bongo zimebonyea na kingine weigh bridge zetu ziko poa zidisha kiwango cha mizigo kwenye trailor ukutane na show🙂 na pia kwenye issue ya connectivity tumewapiga vibaya mno from mkoa to mkoa.
Barabara zetu ni pana kushinda zenu. Wewe sijui unaongea nini.
 
Weka maps
images (4).jpeg
 
Kidogo lifanane na lile jengo refu Africa kwa sasa pale sandton city jozi
Ni kweli karibu zifanane. Tofauti ni kuwa ile ya SA ni office building na hili la Kenya ni residential, yaani makaazi ya watu.
 
Back
Top Bottom