Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
ni ajabu kweli kweli yaani nchi yangu ya kenya imekuwa ya kidemocracy sana na tunawapenda sana jirani zetu[emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]Hii haiingii akilini aisee,Ina maana nchini kwenu mtu anaweza akaingia akajifanya Ni ombaomba kumbe Ni shushushu flani tu, katumwa na nchi yake Kisha akimaliza anasepa zake kiurahirahisi tu[emoji849]ajabu hiii!!