Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
ni ajabu kweli kweli yaani nchi yangu ya kenya imekuwa ya kidemocracy sana na tunawapenda sana jirani zetuHii haiingii akilini aisee,Ina maana nchini kwenu mtu anaweza akaingia akajifanya Ni ombaomba kumbe Ni shushushu flani tu, katumwa na nchi yake Kisha akimaliza anasepa zake kiurahirahisi tuajabu hiii!!




ajabu hiii!!

